Get updates of new courses

Join us our below

Free courses

Writing, marketing, and publishing courses delivered to your mail inbox. These short courses are meant to help you sharpen your writing and marketing skills. The courses are taught by teachers who are well experienced in their fields. Start your day by learning something new worthy making you better. 

Enroll on a free 3 - 5 day course

Learn in quick 5-minute lessons

Delivered to your inbox until you finish your course

Popular courses



IFAHAMU MITINDO YA UANDISHI


Kila uandishi una mtindo wake, iwe kuandika riwaya, mashairi, pendekezo na n.k. Katika kozi hii utajifunza; mitindo minne ya uandishi na mambo ya kuzingatia unapoandika kuandika kitabu. 

Taught by Daudi Lubeleje

START NOW →

ANDIKA RIWAYA KAMA PRO


Inawezekana umetamani sana kuandika riwaya, lakini hujui pa kuanzia. Katika kozi hii ya siku tano utajifunza mambo mbalimbali ikiwemo: wazo zuri la hadithi hutoka wapi?, nini umuhimu wa ubunifu, mbinu za kuisukuma hadithi na uhariri.  

Taught by Esther Karin Mngodo

START NOW →

JIFUNZE UANDISHI WA MAKALA GAZETINI


Kuandika makala gazetini inakupa wigo au uwanja mpana wa wewe kama mwandishi kujitanua katika kazi zako za kiuandishi, na utalifikia kundi kubwa la watu kiurahisi zaidi. 

Taught by Linus Siwiti

START NOW →

ANDIKA MASHAIRI KAMA PRO


Katika kozi hii utajifunza, kutaja machache, maana ya ushairi, umbo la shairi, tenzi, msuko, mathnawi, uhuru wa mshairi na kadhalika. Ni kozi ya siku 5 ambayo itakupa ujuzi wa kukuwezesha kuandika mashairi mara umalizapo tu kusoma. 

Taught by  Omari Juma Kimweri

START NOW →

SANAA YA UBUNIFU WA JALADA NA SAIKOLOJIA YA HADHIRA


Kozi hii imelenga kulielezea jalada la kitabu kwa kina na saikolojia ya hadhira. Tutajifunza haya; jalada kwa tafsiri yake, aina zake, tabia na kabila zake.

Taught by Victor R. Kalinga

START NOW →

KUHARIRI NA KUKIPITIA KITABU


Kitabu chenye makosa kinamwondolea ladha nzuri na tamu msomaji. Kwa hiyo kukipitia na kukihariri kitabu chako ni jambo lisilokwepeka. Inawezekana kitabu kikawa hakina makosa kwa asilimia 100%.

Taught by Daudi Lubeleje

START NOW →

HATUA NNE KATIKA UANDISHI WA VITABU


Unapoingia katika uandishi wa vitabu, au tuseme, unataka kuwa mwandishi wa vitabu, na ni ndoto yako ambayo unataka kuitimiza, kuna hatua ambazo utatembea katika hizo, tunaita hatua katika uandishi wa vitabu..

Taught by Daudi Lubeleje

START NOW →

Trending books



Cart

Cart is empty.