Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support

[Podcast] Tips za kukipitia na kukihariri kitabu chako

July 5, 2022 at 9:28 am,


Kitabu chenye makosa kinamwondolea ladha nzuri na tamu msomaji. Kwa hiyo kukipitia na kukihariri kitabu chako ni jambo lisilokwepeka. Lakini, si waandishi wengi hufanya hivyo. Mara kitabu kinapoingia hatua ya sanifu ya kurasa ndiposa mwandishi anagundua kitabu kina makosa fulani fulani.


Matokeo yake, msanifu anaingia gharama ya kurudia rudia kazi na hata wewe mwandishi unakuwa unapoteza muda ambao ungekuwa kwenye hatua nyingine za kutoa kitabu chako.

Hivyo basi ili kukwepa yote haya, sharti wewe mwandishi au umpatie mhariri ili kukipitia na kukihariri kitabu. Inawezekana kitabu kikawa hakina makosa kwa asilimia 100%. Sasa fuata tips hizi ambazo zitakusaidia wewe kukipitia na kukihariri kitabu chako kwa mafanikio.

  1. Tips za kukipitia na kukihariri kitabu chako [S01EP01]
  2. Tips za kukipitia na kukihariri kitabu chako [S01EP02]
  3. Tips za kukipitia na kukihariri kitabu chako [S01EP03]
  4. Tips za kukipitia na kukihariri kitabu chako [S01EP04_FINALE]

Kuwa mwandishi aliyefanikiwa ni maamuzi unayoweza kuyafanya leo kwa kusoma kitabu hiki UANDISHI WA KITABU KINACHOUZIKA kilichoandikwa na DaudiLubeleje ambaye ameandaa podikasti hizi. Kwa ufupi kuhusu kitabu hiki

Mwenye ndoto ya kuandika na kutoa kitabu ni wewe si mtu mwingine, mwenye ndoto ya kuuza nakala nyingi ni wewe na si mtu mwingine, na mwenye ndoto ya kuwa mwandishi aliyefanikiwa ni wewe na si mtu mwingine. Kwenye hatua yoyote uliyoko sasa; iwe kuandika, kutoa ama kuuza kitabu chako, kitabu hiki kitakuwa msaada kwako.Unapoanza kusoma kitabu hiki unakuwa umeanza safari ya siku 25 za kuwa mwandishi aliyefanikiwa bila stress. Utafanikiwa kutimiza ndoto yako ya kuandika, kutoa na kuuza kitabu chako kwa mafanikio.Upo tayari kuanza siku 25 za kuwa mwandishi aliyefanikiwa?Upo tayari kuandika kitabu kitakachofika kwa msomaji wako?

Ndio! Najua upo tayari,

Pakua kitabu



Recent Posts

  • Umechoka na Minyama Uzembe? Suluhisho la Kupungua Uzito Limepatikana!
    17 Apr, 2025
  • Vitabu Bora vya Pasaka vya Kukuimarisha Kiroho – Vinapatikana Sasa DL Bookstore
    11 Apr, 2025
  • 4 Benefits of Selling Your Book Through DL Bookstore
    20 Mar, 2025
  • Download Entrepreneurship Books (PDF) in Swahili
    10 Feb, 2025
  • Download Nine (9) Must-Read Books for Girls and Women 📚✨
    4 Feb, 2025
  • A Tanzanian Platform for Selling Books Online
    4 Feb, 2025
  • Jinsi ya Kuandika Caption Inayochochea Mauzo ya Kitabu Chako
    23 Nov, 2024

selling_book-1.png

Enroll in 100% free courses

100% free courses on writing, publishing, and marketing of books. Time to dive in!

Start learning →

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.