Stori yake imenipa funzo, sitasahau!
Ilikuwa ni tarehe moja ya mwezi mwaka huu, mida ya saa saba mchana nilipokea ujumbe kwenye WhatsApp yangu kutoka kwa ndugu mmoja. Ujumbe huo ulisomeka hivi;
Kila mtu mwenye njaa ya mafanikio, hivi ndivyo vitabu vya kusoma.
Ukiiwaza kesho yako itakuwaje, utapata njaa ya mafanikio. Kocha wa mpira wa kikapu, John Wooden aliwahi kusema “Mafanikio ni amani ya akili, ambayo ni matokeo ya moja kwa moja ya kujiridhisha kwa kujua umefanya juhudi za kuwa bora”. Njia mojawapo ya kupata amani ya akili ni kusoma vitabu. Kwa kusoma vitabu unaanza kuona ni wapi uelekeze hustle zako ili upige hatua zaidi.
Mafunzo 10 kutoka kwenye kitabu cha Ushindi Katika Hali Ngumu
Kuna mtu mmoja aliwahi kusema, “Ikiwa tutakutana na mtu mwenye akili adimu, tunapaswa kumuuliza anasoma vitabu gani”. Ukweli wa kauli hii ni kwamba mtu yeyote aliye tofauti anasoma vitabu. Mtu wa kawaida akipita kwenye nyakati ngumu anapigika vilivyo, lakini anayesoma vitabu huwa na mbinu za kuvuka hali ngumu.
Nukuu 17 za kukuhamasisha kusoma vitabu zaidi
Kusoma vitabu si kazi ngumu na si kazi nyepesi. Kuna msemo unasema, "jambo lolote likihusisha kufikiri, linakuwa ni jambo gumu. Kwa sababu usomaji wa vitabu unahusisha akili yako kuishughulisha kufikiri ili ufaidike na yake yaliyoandikwa.
Vitabu vitatu vitakavyobadilisha maisha yako ya maombi kabisa
“Kitabu ni zawadi ambayo unaweza kuifungua tena na tena”, ni maneno yaliyosemwa na Garrison Keillor, mwandishi wa vitabu kutoka Marekani. Kila unapoifungua zawadi hii ya kitabu na kusoma tena na tena, maisha yako hayawezi kubaki vile vile, lazima utapiga hatua kuboresha maisha yako.
Vitabu vitano (5) vya biashara na uchumi muhimu kuvisoma
Mambo yamebadilika sana miaka ya hivi karibuni. Zamani kidogo, watu walikutana na changamoto ya kukosa maarifa muhimu kuhusu biashara na uchumi hasa walipotaka kuanza kufanya biashara au kutaka kujiongezea kipato zaidi. Lakini sasa, vitabu vya biashara na uchumi vimejaa tele kwa wewe kusoma na kufaidika na maarifa ya kukusaidia kufanya biashara bila ugumu wowote.
Vitabu vya lazima kusomwa na wanawake na mabinti
Mwanamama Louisa May Alcott ambaye ni mwandishi wa kitabu cha Rose in Bloom anasema “Endelea kuwa na watu wazuri, soma vitabu vizuri, penda vitu vizuri na isitawisha nafsi na mwili kwa uaminifu uwezavyo.”
Ukweli huu
anaosema Louisa huonekana kwa Dhahiri pale wanawake na mabinti
wanaposoma vitabu. Hivyo basi tumekuandalia orodha hii ya vitabu
ambavyo ni lazima kusomwa na wanawake na mabinti.
Six (6) books that will change your life forever
Everyone wants to make positive changes in their lives, but many fail to know how to start. There are six books if you read them you will start taking positive steps towards the changes you want.
A must to read book for graduate and undergraduate students
"Beyond The Traditional Classroom: Mastering University Life for Global Success-A guide for Graduate and Undergraduate Students" is a game-changing book that empowers current Undergraduate and Graduate students and prospective ones to maximize their college experience and position themselves for success beyond graduation. By combining practical advice with real-life story, It provide a roadmap for achieving academic excellence, building a strong network, and developing the skills employers are searching for.
Soma vitabu hivi vitatu kama unataka kuwa mwandishi wa vitabu
Nazungumza na mtu anayetaka kuwa mwandishi wa vitabu, kuna vitabu vitatu vya lazima kuvisoma ili upate maarifa ya kukusaidia unapoingia kwenye uandishi wa vitabu.
Vitabu hivi
vitakusaidia kupata maarifa muhimu kuanzia hatua ya kuandika,
kuandaa, kupiga chapa na kuuza kiabu ulichoandika. Ni vitabu gani
hivyo?
Vitabu Vinne Vya Kukujenga Na Kukuimarisha Kiroho.
Mkristo anayeulisha ufahamu wake kwa kusoma vitabu vya kiroho nilivyoandikwa na watumishi wa Mungu ana nafasi ya kukua, kujengeka na kuimarika kiroho kuliko mkristo yule asiyefanya hivyo.
Lakini kutafuta kitabu bora cha
kiroho ili kukiweka kwenye orodha yako ya vitabu vya kusoma si
jambo jepesi. Hivyo basi, tumekuandalia orodha ya vitabu vinne vya
kukujenga na kukuimarisha kiroho.
African Youth Battling for Education, the irresistible book from Dr. Lameck is out
We are thrilled to announce the publication of a transformative book that casts light on the obstacles secondary school students in Africa face and offers empowering solutions to overcome them. This remarkable work by Dr. Lameck Luwanda, titled "African Youth Battling for Education," serves as a beacon for students, instructors, and parents, providing strategies for navigating the educational landscape and achieving success despite limited resources.
#AuthorSpotlight: Tunafurahia mafanikio ya mwandishi Isaack Zake, atoa vitabu vitatu
Moja kati ya waandishi wa vitabu ambae tumefanya kazi naye ni wakili Isaack Zake. Mafanikio aliyoyapata kwenye uandishi wake ni hamasa kwa waandishi wengine na sina budi kukushirikisha stori yake ya mafanikio.
Jinsi ya kuingia kwenye uandishi wa vitabu
Kwa mfano, mwalimu anayefundisha shuleni au chuoni atakuwa na hamu ya kuandika kitabu lakini atajiuliza, “naanzaje?”, mtangazaji wa redio au runinga naye atajiuliza swali hilo hilo, “naanzaje?”. Kujiuliza swali hili haimaanishi mtu hawezi kuandika kitabu ila kwa kutumia mazingira aliyopo, anaanzaje kuandika kitabu?.
Njia tatu (3) za kumnasa msomaji asome kitabu chako
Kitabu kinaandikwa ili kisomwe lakini si rahisi kumnasa msomaji akasoma kitabu chako bila kukiacha hata akakimaliza. Unavyokianza kitabu chako ndiyo jambo muhimu zaidi kwa sababu hakuna msomaji atasoma sentensi inayofuata, kisha inayofuata na inayofuata kama sentensi ya kwanza haikumfanya kuvutika kusoma zaidi.
Ishara tatu kwamba wasomaji hawamalizi kusoma kitabu chako
Si kila msomaji anayenunua kitabu atakisoma, wengine wanasoma kidogo tu, na wengine hawasomi kabisa. Lakini si waandishi wengi hufahamu jambo hili, furaha yao huwa “nimeuza kitabu, nimeingiza hela”. Kwenye tasnia ya uandishi, kuingiza pesa pekee si lengo la mwisho, kuona kwamba wasomaji wameelemika na wameburudika baada ya kusoma kitabu chako si jambo la kupuuzwa wala kupungunguzwa uzito wake.
[New book release] The Epic Novel, 'Yes, I Did It' is now available.
The epic novel – Yes, I Did It – that you have been waiting for is out. The novel is a sequel to It can't be TRUE. The main character is the same Albert Mukasa - the infamous Ugandan spy. The novel tackles the issue of children sacrifice in Uganda and the powers/ forces behind the heinous crime. There are enough intrigues, twists and turns to make you spellbound from the beginning to the end. If you enjoyed the It can't be TRUE, you will certainly love this more.
Kuwa mwandishi serious inataka nini?
Msomaji anaposoma kitabu cha mwandishi fulani huwa anakutana na mambo ambayo yatampa picha ya kumuona mwandishi yupo serious au la. Kwa bahati mbaya, wasomaji wengi wanapomwona mwandishi hayupo serious hubaki na dukuduku moyoni bila kumpa mwandishi mrejesho wa kitabu chake. Hii sio poa hata kidogo lakini ndio uhalisia wa mambo ulivyo
Jinsi ya kusoma kitabu ukiwa mtandaoni
Zamani kidogo ilikuwa huwezi kusoma kitabu kwa kutumia simu janja yako, tabuleti au kompyuta yako. Kusoma kitabu ingekutaka uwe na nakala ngumu, utulie mahali usome au uende maktaba iliyo jirani na wewe ili usome kitabu. Kama ungekuwa safarini, mfano kwenye daladala, ingekupasa utembee na nakala yako ili usome, sasa fikiria mtu aliyetaka kusoma vitabu vitano, si angebeba vyote atembee navyo? Shida gani hii!.
Badilisha maisha yako kwa kusoma kozi hizi nane (8)
Katika maswali haya, ni swali lipi linakuelezea wewe na umekuwa ukijiuliza bila majibu yake, na sasa ungetaka kuchukua hatua ya kufanyia kazi?; Je mimi nataka kujua jinsi ya kuandika kitabu? Je mimi nataka kujua jinsi ya kuuza kitabu changu zaidi? Je mimi nataka kutoa kitabu changu ila sijui nianzie wapi? Au Je mimi nataka kuwa bora zaidi kwenye uandishi wa vitabu?. Majibu yamepatikana, nakupa njia rahisi ya kutusua.