Pay less, more books

Get any book you would love to read for almost free!

BEST. AFFORDABLE. TIMELY

WHAT WE OFFER TO AUTHORS


Cover designing

We give one-on-one attention to each book project with the goal of designing a professional, unique, and eye-catching cover.

Read more →

Layout services

Get a killing layout with a professional touch that instantly captures and hold the attention of the reader

Editing services

Our inspiration is to help you get a manuscript free from errors so that readers can enjoy your story without being turned off

Publishing

Whether it's a print book or an ebook, We ensure that your readers enjoy the maximum experience as they flip the pages of your book. 

NEW RELEASES


COMING SOON...


Kumekuwa na wimbi kubwa la changamoto katika mahusiano, ndoa na hata malezi. Changamoto hizi zimewakumba wengi na miongoni mwa kundi ambalo limeathirika ni mabinti. Kuna walioolewa ambao wanatamani watoke kwenye ndoa, na kuna ambao hawajaolewa wanatamani kuingia kwenye ndoa. Wapo walioolewa ambao wanatamani muda urudi nyuma warudie kipindi cha kabla ya kuolewa na wapo ambao bado hawajaolewa ambao wanaona kipindi cha kabla ya kuolewa ni kama laana au hakifai kuwepo kabisa. Kuna ambao wameolewa na bado wanajiona wapweke, na kuna ambao hawajaolewa wanataka kuolewa ili waondoe upweke. Kuna sababu nyingi ambazo zimepelekea mambo kuwa hivyo ikiwemo mitazamo katika jamii.

Ndani ya kitabu hiki, mwandishi amefafanua na kuelezea sababu zinazowafanya mabinti wengi kuathirika na mambo hayo, na pia ameeleza ni nini binti anapaswa kufanya ili kuukomboa wakati na kuutumia vizuri kabla hajaolewa na hata baada ya kuolewa ili aishi maisha yenye faida na sio hasara katika kipindi cha yeye kuishi hapa duniani.

Pre-order →

RECOMMENDED FOR YOU


THIS MONTH'S PICK


OUR PORTFOLIO

We would love to work on your upcoming book, help you with designing the book cover, book layout, or editing your book. See our portfolio, you are warmly welcome

LET THE NUMBERS SPEAK!


350+ Book covers designed

200+ Book layout designed

150+ Books edited

500+ Satisfied authors

Our customers include first-time writers, authors, and avid book readers. Work with us and start writing your success story today.

WHAT OUR CLIENTS SAY ABOUT US


Francis Mbago, Author

Mnakwenda na muda, mnazingatia matakwa ya mwandishi. You are simply the best, and I recommend you to other book writers

Joshua Kanondo, Author

DL Bookstore mko very organized. Nimependa sana! How you keep things officiak...hiyo inaongeza trust kwa wateja

Inessgrace Munisi, Author

Sioni dalili ya kuwaacha...Mungu anipe ufunuo wa kitabu kingine

Hassan A. Hassani, Author

Wonderful service! Congratulations DL Bookstore. Honestly, I enjoyed the service.

Cart

Cart is empty.