Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Ifahamu Biblia Vizuri

Ifahamu Biblia Vizuri

TZS 10,000
Add to cart  

Ni raha sana kusoma kitabu ambacho unajua kimeandikwa na nani, lini, kwa nini, kwa ajili ya nani na wahusika wake ni akina nani.

Kwa mfano, kitabu cha Ruthu kimeandikwa na Nabii Samweli. Matukio ya Ruthu yalitokea wakati fulani kati ya 1160 KK na 1100 KK, wakati wa kipindi cha mwisho cha waamuzi (Ruthu 1:1). Lakini kitabu cha Samweli mwenyewe hakikuandikwa na Samweli kwa sababu sura ya 25 ya Samweli wa kwanza inaelezea kifo cha Samweli. Unaweza kuona kwamba ingekuwa ngumu mtu kuandika habari za kifo chake wakati kinatokea. Sasa ni nani aliandika? Ndio maana uko na kitabu hiki mkononi mwako.

Kitu kimoja nina uhakika nacho ni kwamba ukisoma kitabu hiki utaona raha kusoma Biblia na utaipenda zaidi. Ufahamu wako kuhusu Mungu na Biblia utaongezeka sana kwa sababu nusu ya maswali yako yotr uliyonayo kuhusu Biblia majibu yake yako ndani ya kitabu hiki


Recommended for you

Mambo Muhimu kwa Mwalimu wa Biblia Unapoandaa Somo
Mambo Muhimu kwa Mwalimu wa Biblia Unapoandaa Somo
TZS 5,000 TZS 4,500
Add to cart
Ushauri wa Ndoa katika Mtazamo wa Kibiblia
Ushauri wa Ndoa katika Mtazamo wa Kibiblia
TZS 10,000
Add to cart

Cart

Cart is empty.

Log in




Forgot password?
Create account
Login to existing account
My orders
My reviews
My details
Log out
  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2018 - 2025. All rights reserved.