Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Kusifu na Kuabudu

Kusifu na Kuabudu

TZS 5,000

Hardcopy Softcopy
Add to cart  

Mada ya Kusifu na Kuabudu ni moja wapo ya mada muhimu zaidi katika Biblia ingawa ni mojawapo ya mada iliyopuuzwa zaidi.Hata hivyo katika miaka ya hivi karibuni, Mungu amekuwa akirudisha huduma hii kwa watu wake, kama ilivyotabiriwa na Yoeli.

Lengo la kitabu ni kusaidia, kuhamasisha watu kuweza kumsifu na kumwabudu wa Mungu kwa kanuni za kibiblia. Mungu anatafuta waabuduo ambao wanaabudu kwa roho na kweli. Kila Mkristo anapaswa kuwa na uhuru wa kutosha kufanya kila kitu biblia inatuhimiza kufanya, haswa katika eneo hili muhimu la kumpa Mungu ibada ambayo Yeye anastahili sana.

Mungu akubariki.


Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.