Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Kusifu na Kuabudu

Kusifu na Kuabudu

TZS 5,000
Add to cart  

Mada ya Kusifu na Kuabudu ni moja wapo ya mada muhimu zaidi katika Biblia ingawa ni mojawapo ya mada iliyopuuzwa zaidi.Hata hivyo katika miaka ya hivi karibuni, Mungu amekuwa akirudisha huduma hii kwa watu wake, kama ilivyotabiriwa na Yoeli.

Lengo la kitabu ni kusaidia, kuhamasisha watu kuweza kumsifu na kumwabudu wa Mungu kwa kanuni za kibiblia. Mungu anatafuta waabuduo ambao wanaabudu kwa roho na kweli. Kila Mkristo anapaswa kuwa na uhuru wa kutosha kufanya kila kitu biblia inatuhimiza kufanya, haswa katika eneo hili muhimu la kumpa Mungu ibada ambayo Yeye anastahili sana.

Mungu akubariki.


Others Also Bought

Kusifu na kuabudu katika Roho na kweli
Kusifu na kuabudu katika Roho na kweli
TZS 9,000 TZS 4,000
Add to cart
Chozi
Chozi
TZS 6,999
Add to cart
Tanuri la Furaha
Tanuri la Furaha
TZS 8,999
Add to cart
Rain of pain
Rain of pain
TZS 10,000
Add to cart

Cart

Cart is empty.

Log in

Incorrect password.




Forgot password?
Create an account
Login to existing account
My orders
My reviews
My details
Log out
  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.