Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Dini
  • Kusifu na Kuabudu

Kusifu na Kuabudu

  TZS 5,000
Add to cart  

Mada ya Kusifu na Kuabudu ni moja wapo ya mada muhimu zaidi katika Biblia ingawa ni mojawapo ya mada iliyopuuzwa zaidi.Hata hivyo katika miaka ya hivi karibuni, Mungu amekuwa akirudisha huduma hii kwa watu wake, kama ilivyotabiriwa na Yoeli.

Lengo la kitabu ni kusaidia, kuhamasisha watu kuweza kumsifu na kumwabudu wa Mungu kwa kanuni za kibiblia. Mungu anatafuta waabuduo ambao wanaabudu kwa roho na kweli. Kila Mkristo anapaswa kuwa na uhuru wa kutosha kufanya kila kitu biblia inatuhimiza kufanya, haswa katika eneo hili muhimu la kumpa Mungu ibada ambayo Yeye anastahili sana.

Mungu akubariki.


Others Also Bought

Kusifu na kuabudu katika Roho na kweli
Kusifu na kuabudu katika Roho na kweli
TZS 9,000 TZS 4,000
Add to cart
Sadaka ya fungu la kumi ni nini?
Sadaka ya fungu la kumi ni nini?
TZS 3,500
Add to cart
How To Sell Your Soul To Satan
How To Sell Your Soul To Satan
TZS 7,777
Add to cart
Utakatifu
Utakatifu
TZS 7,000
Add to cart

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.