Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Dini
  • Kusifu na Kuabudu

Kusifu na Kuabudu

  5,000.00 TZS
Add to cart  

Mada ya Kusifu na Kuabudu ni moja wapo ya mada muhimu zaidi katika Biblia ingawa ni mojawapo ya mada iliyopuuzwa zaidi.Hata hivyo katika miaka ya hivi karibuni, Mungu amekuwa akirudisha huduma hii kwa watu wake, kama ilivyotabiriwa na Yoeli.

Lengo la kitabu ni kusaidia, kuhamasisha watu kuweza kumsifu na kumwabudu wa Mungu kwa kanuni za kibiblia. Mungu anatafuta waabuduo ambao wanaabudu kwa roho na kweli. Kila Mkristo anapaswa kuwa na uhuru wa kutosha kufanya kila kitu biblia inatuhimiza kufanya, haswa katika eneo hili muhimu la kumpa Mungu ibada ambayo Yeye anastahili sana.

Mungu akubariki.


Others Also Bought

Kusifu na kuabudu katika Roho na kweli
Kusifu na kuabudu katika Roho na kweli
9,000.00 TZS 4,000.00 TZS
Namna ya kuwa mtaalamu ukiwa bado unasoma
Namna ya kuwa mtaalamu ukiwa bado unasoma
15,000.00 TZS
 Ijue njia
Ijue njia
4,999.00 TZS
Maombi Ni Maisha Na Maisha Ni Madhabahu Ya Maombi
Maombi Ni Maisha Na Maisha Ni Madhabahu Ya Maombi
5,200.00 TZS

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • Return policy
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2026. All rights reserved | Made with ❤️ in Tanzania.