Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • Join us
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Maarifa juu ya maombi unayotakiwa kuomba

Maarifa juu ya maombi unayotakiwa kuomba

TZS 5,000
Add to cart  

Maarifa juu ya maombi unayotakiwa kuomba ni kitabu kinachoweza msaidia mtu yeyote bila ya kujali hali yake ya kiroho. Kitabu hiki kinatoa mwanga, maarifa pamoja na kutoa majibu ya maswali na mitazamo mbalimbali kuhusu maombi yanayohitajika ili Mungu afanye kitu katika maisha yako ya kimwili na kiroho pia. Hii ni baada ya kufanya tathmini katika Roho Mtakatifu na kugundua kwamba iko idadi ya wakristo wengi wanaomba sana lakini si katika maarifa, hivyo kitabu hiki kitakuwa ni msaada mkubwa sana kwako ili uweze kuomba maombi yenye nguvu mbele za Mungu. Hosea 4:6a inasema "Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa;"


Others Also Bought

Jifunze kudumu katika maombi
Jifunze kudumu katika maombi
TZS 7,000
Add to cart
Maombi ya Kushinda vita ya Kiroho
Maombi ya Kushinda vita ya Kiroho
TZS 7,000
Add to cart

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Join us
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.