Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Maarifa juu ya maombi unayotakiwa kuomba

Maarifa juu ya maombi unayotakiwa kuomba

TZS 5,000


Add to cart  

Maarifa juu ya maombi unayotakiwa kuomba ni kitabu kinachoweza msaidia mtu yeyote bila ya kujali hali yake ya kiroho. Kitabu hiki kinatoa mwanga, maarifa pamoja na kutoa majibu ya maswali na mitazamo mbalimbali kuhusu maombi yanayohitajika ili Mungu afanye kitu katika maisha yako ya kimwili na kiroho pia. Hii ni baada ya kufanya tathmini katika Roho Mtakatifu na kugundua kwamba iko idadi ya wakristo wengi wanaomba sana lakini si katika maarifa, hivyo kitabu hiki kitakuwa ni msaada mkubwa sana kwako ili uweze kuomba maombi yenye nguvu mbele za Mungu. Hosea 4:6a inasema "Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa;"


Cart

Cart is empty.

Log in




Forgot password?
Create account
Login to existing account
My orders
My reviews
My details
Log out
  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2018 - 2025. All rights reserved.