MADHARA YA DHAMBI
Madhara ya DHAMBI ya ujana ni kitabu kilicho andikwa SIYO kwa lengo la kuwatisha wakristo, kuwafanya wakose amani, kuwafanya wajutie makosa Yao, kuwanyima furaha ya maisha Yao ya kila siku lahasha, bali kimeandikwa kwa lengo la kuwapa ufahamu Zaidi kuhusu dhana ya dhambi na chanzo chake, kimelenga kuwafungua macho wasomaji wa Rika zote lakini hasa vijana kuwa dhambi huleta madhara mengi Sana ukiacha na kuchomwa moto jehanamu siku ya mwisho.yaani kabla ya jehanamu Kuna vitu vingi sana vitatokea kwenye maisha Yako na uzao wako iwapo hutaiacha dhambi.
Others Also Bought
Mduara wa dhambi
Mambo 7 usiyoyajua kuhusu dhambi