Mungu Halisi
"Nguvu ya uwepo ndani yetu"
Mungu halisi ni kitabu cha kiroho na kifalsafa kinacho mwalika msomaji kuchunguza uhusiano kati ya Mungu,mwanadamu na uumbaji,huku kikihimiza msomaji kujenga maisha yanayoongozwa na upendo,hekima,ukweli na uwajibikaji.
Kupitia tafakari,mifano na hoja za kifalsafa,kitabu kinazungumzia mada kama vile uwepo wa Mungu,uhusiano kati ya mungu na uumbaji,pamoja na umuhimu wa kuishi kwa amani na kusudi.
Badala ya kutoa majibu mepesi,kinamwalika msomaji kufanya tafakari na kukuza uelewa wake wa maswala haya.
Ikiwa unapenda vitabuvyaukuaji wa kiroho,falsafa na kujitambua,MUNGU HALISI ni mwongozo wa kutafakari kuhusu maisha,imani na nafsasi ya mwanadamu katika ulimwengu
Others Also Bought
Mambo Muhimu kwa Mwalimu wa Biblia Unapoandaa Somo