Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • Sign in
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Afya na ustawi
    • Dini
    • Fasihi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Maendeleo binafsi
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
    • Wasifu na Tawasifu
  • English books
    • Business and finance
    • Health and wellness
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Free previews
  • Books
  • Swahili books
  • Dini
  • Nguvu ya msamaha

Nguvu ya msamaha

  10,000.00 TZS
Add to cart
Downloadable file How to buy

Katika kitabu cha “Nguvu ya Msamaha” Rev. Mtume Francis Epimack Mbago, anaelezea kwa undani kanuni ya msingi katika maisha ya ushindi wa mkristo: “Msamaha”. 

Kutokuijua au kuipuuzia kanuni hii kumesababisha watu wengi waishi katika mateso, magonjwa na maradhi yasiyo ya lazima. Kanuni hii ni karama, au kipawa ambacho Mungu anakitoa kwa watu wake awapendao ili kuleta furaha na amani katika maisha yao. 

Kanuni hii ni tiba kwa sumu ya moyo  inayoua taratibu bila kujulikana na watu wengi.


Others Also Bought

Siri ya Kusamehe na Kuachilia
Siri ya Kusamehe na Kuachilia
6,000.00 TZS

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
  • Sign in
DL Bookstore © 2026. All rights reserved | Made with ❤️ in Tanzania.