Si Kila unachopoteza ni hasara
Downloadable file
How to buy
KWA NINI USOME KITABU HIKI?
Huenda kuna kitu umepoteza na bado hujui kwa nini kilitokea.
Huenda ni mtu, nafasi, ndoto, uhusiano, mali au muda ambao huwezi kuurudisha.
Kitabu hiki kimeandikwa kukusaidia kuelewa kwamba si kila unachokipoteza ni mwisho wa maisha yako.
Hapa utajifunza kuachilia yaliyopita, kupona bila kuwa na uchungu, kuacha kujilaumu, kuanza tena na kumtumaini Mungu hata wakati hujaelewa kila kitu.
Usikisome kwa haraka.
Kisome kwa moyo.
Tafakari kila sura, fungua maandiko, omba, na chukua hatua.
Huenda kile ulichodhani ni mwisho wa safari yako, Mungu anakitumia kuwa mwanzo wa jambo jipya.
SI KILA UNACHOKIPOTEZA NI HASARA.
Others Also Bought
Mduara wa dhambi
Mambo 7 usiyoyajua kuhusu dhambi