Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Ufuasi: Agizo Kuu la Yesu Kristo kwa Kanisa

Ufuasi: Agizo Kuu la Yesu Kristo kwa Kanisa

TZS 7,000

Hardcopy Softcopy
Add to cart  

Ufuasi ndio agizo na kusudi kuu la Kanisa. Bila wafuasi hakuna kanisa. Leo katika Makanisa tumejaza waaminio wengi na Wafuasi wachache. Changamoto kubwa ya Kanisa ni kuwafanya watu waliomwamini na kumfuata Kristo kukua na ku­kia viwango vya kuwa ni wafuasi halisi wa Yesu Kristo.

Katika kitabu hiki Mwalimu na Mchungaji Meinrald Mtitu, anachambua masuala muhimu kuhusu ufuasi, kama vile, Agizo Kuu La Yesu Kwa Kanisa, Ufuasi Ni Nini? Mfuasi Ni Nani? Uinjilist Na Ufuasi, Sifa Za Mfuasi Wa Kweli Wa Yesu, Gharama Za Kuwa Mfuasi Wa Yesu, Kanuni Za Ufuasishaji, Jinsi Wa Kuwafanya Wafuasi, Kudhoo­ka Kwa Ufuasi Na Nini Kifanyike.

Kitabu hiki kinafaa kwa kila Mtendakazi wa Kristo anayetaka kutii agizo kuu la kuwafanya mataifa kuwa wafuasi.



Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.