Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Fasihi
  • Mheshimiwa the Don

Mheshimiwa the Don

TZS 10,000


Add to cart  

Mabrook, alimaarufu The Don ni mtu mwenye jina Kubwa sana nchini. Kwanza kwa sababu ni miongoni mwa mawaziri wachapakazi na anayekubalika sana kwa wananchi wa rika zote lakini pia ni mtu wa watu, anayetoa misaada mingi kwa raia Ni kiongozi anayepewa nafasi Kubwa ya kushika madaraka ya juu zaidi nchini.

Pamoja na hayo, mheshimiwa Mabrook si mtu wa kawaida kwa Kila hali. Akihusishwa na ushirikina unaosababisha mauaji ya kutisha ya albino, viungo vya binadamu na mauaji "ya watu maarufu.

Kisasi cha mapenzi kinaibua maozo yote ya mheshimiwa The Don. Machera ni mpelelezi makini anayeibua uozo huo kwa kushirikiana na mwanaharakati wa haki za binadamu Maisha Nchagwa.


Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.