Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Maendeleo binafsi
  • Inuka Tena

Inuka Tena

TZS 7,000  TZS 4,999

Paperback eBook
Add to cart  

Matatizo ya kihisia yanaweza kusababishwa na mambo kadhaa mfano kwenye familia, kazini, mahusiano na hata kwenye jamii inayotuzunguka.

Wengi wamekumbwa na matatizo ya kihisia na ndani ya mioyo yao kuna majeraha na hawajui hatima zao za kihisia na kiakili zitakwisha lini. Matokeo ya kihisia ni mlolongo uliopo kwenye akili na ufahamu wa mtu, namna akili na ufahamu ulivyochukua nafasi kwa muda mrefu ndipo matatizo ya kihisia huchukua nafasi.

Ushawahi kukutana na mtu anakwambia “nakupenda ila hisia na wewe sina?”, watu wenye mahusiano au waliowahi kupitia hali kama hiyo wanaweza kuungana na mimi katika hili, na kama hakuna hisia hakuna mapenzi.


Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.