Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Maendeleo binafsi
  • Inuka Tena

Inuka Tena

TZS 7,000  TZS 4,999
Add to cart  

Matatizo ya kihisia yanaweza kusababishwa na mambo kadhaa mfano kwenye familia, kazini, mahusiano na hata kwenye jamii inayotuzunguka.

Wengi wamekumbwa na matatizo ya kihisia na ndani ya mioyo yao kuna majeraha na hawajui hatima zao za kihisia na kiakili zitakwisha lini. Matokeo ya kihisia ni mlolongo uliopo kwenye akili na ufahamu wa mtu, namna akili na ufahamu ulivyochukua nafasi kwa muda mrefu ndipo matatizo ya kihisia huchukua nafasi.

Ushawahi kukutana na mtu anakwambia “nakupenda ila hisia na wewe sina?”, watu wenye mahusiano au waliowahi kupitia hali kama hiyo wanaweza kuungana na mimi katika hili, na kama hakuna hisia hakuna mapenzi.


Others Also Bought

Usiishie njiani - chukua hatua kutimiza maono yako
Usiishie njiani - chukua hatua kutimiza maono yako
TZS 5,000
Add to cart
Mjue na kumtambua Roho Mtakatifu
Mjue na kumtambua Roho Mtakatifu
TZS 2,500
Add to cart
Utambulisho katika Kristo
Utambulisho katika Kristo
TZS 10,000
Add to cart
Teen Hood
Teen Hood
TZS 8,000
Add to cart

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.