Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Maendeleo binafsi
  • Jirani Yangu

Jirani Yangu

TZS 5,000  TZS 3,000

Paperback eBook
Add to cart  

Jirani Yangu ni moja ya vitabu ambavyo vimelenga kuchochea mahusiano baina ya watu wanaoishi katika maeneo jirani. Pia ni kitabu ambacho kimefafanua kwa undani zaidi kuhusu jirani, na kimeeleza wajibu wa mtu kwa jirani yake, lakini pia kimeeleza jinsi gani mtu hasa aliyeokoka anavyoweza kuishi na watu ambao hawajaokoka na bado ikawa ni kwa utukufu wa Mungu, kwa sababu ya ule upendo wa kimungu ulio ndani yake.

Kitabu hiki kimebeba majibu mbalimbali kwa ajili ya kujibu maswali ambayo watu wengi wamekuwa wakijiuliza, kwa mfano yule mwanasheria aliyemuuliza Yesu afanye nini ili aurithi uzima wa milele? Jibu la Yesu ndiyo asili ya kitabu hiki na jibu hilo ingawa mwanasheria yule lilikuwa kama lisilomfaa lakini sisi linatufaa sana na tunapaswa kulielewa jibu lile kwa undani. Ili tulielewe kitabu hiki kimekuja kwako. Usikubali kikapita tu kwako.


Recommended for you

Mafanikio Ni Haki Yako
Mafanikio Ni Haki Yako
TZS 4,999
View options
Itawale Hofu Yako
Itawale Hofu Yako
TZS 10,000
View options
Mitandao ya kijamii ilivyoiba furaha ya wengi
Mitandao ya kijamii ilivyoiba furaha ya wengi
TZS 6,999
View options

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.