Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Maendeleo binafsi
  • Namna ya kuwa mtaalamu ukiwa bado unasoma

Namna ya kuwa mtaalamu ukiwa bado unasoma

TZS 15,000
Add to cart  

Kila mtu unayemuona ni mtaalamu katika eneo fulani kuna siku alikuwa ni mtu mpya kwenye hali hiyo ambayo leo hii inamfanya aonekane mtaalamu.

Utaalamu ni kitu unachoweza kujifunza kama ulivyojifunza kusoma na kuandika au kutembea na kuongea. Kuanza kujifunza utaalamu mapema ni jambo la busara mno katika chaguzi zako unazoweza kuzifanya katika karne hii, hasa ukianza kujifunza namna ya kuwa mtaalamu ukiwa unasoma ili ukija kuhitimu tayari unaweza kusimama kama mtaalamu kinara. Watu wakihitaji mtaalamu wewe uwe wa kwanza. Kitabu hiki ni jibu tosha la mtu yeyote mwenye kiu na ndoto ya kuwa mtaalamu.

Dunia ya leo inawapokea wataalamu kwa mikono miwili hivyo ni jukumu lako leo kuanza kujifunza namna ya kuwa mtaalamu.


Recommended for you

Hitimu kabla ya kuanza chuo
Hitimu kabla ya kuanza chuo
TZS 10,000
Add to cart
Ramani ya vita kwa ajili ya mwanafunzi
Ramani ya vita kwa ajili ya mwanafunzi
TZS 3,500
Add to cart

Cart

Cart is empty.

Log in




Forgot password?
Create account
Login to existing account
My orders
My reviews
My details
Log out
  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2018 - 2025. All rights reserved.