Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Maendeleo binafsi
  • Nguvu Nyuma ya Maandalizi Binafsi

Nguvu Nyuma ya Maandalizi Binafsi

TZS 3,000
Add to cart  

Mtu yeyote ambaye amekusudia au anatamani siku moja watu wamtambue kwenye eneo ambalo ameitwa kulitawala (eneo analotamani kufanikiwa nalo) huwa haishi kama vile ambavyo watu wengine ambao hawana kiu ya mafanikio wanaishi.

Na moja ya kitu ambacho kinamtofautisha mtu anaye yatazamia mafanikio na yule ambaye hajui anapokwenda na ameyakatia tamaa maisha yake ni kwenye eneo linaitwa MAANDALIZI BINAFSI.

Mafanikio ya mtu mwenye maandalizi ni  jambo ambalo si la kushtukiza wala la kushangaza kwasababu maandalizi ni utabiri wa kesho tukiwa bado tupo leo. Yaani hauhitaji kiongozi wa dini wala mtumishi wa Mungu aje kukutabilia kwamba utamiliki mali na utakuwa mtu mkuu. Kwasababu hii ni kanuni ambayo Mungu mwenyewe aliiweka tangu kuwekwa kwa misingi ya dunia hii. Ila kama hauna maandalizi binafsi na unasema unataka mafanikio utakuwa unatudanganya na hatuwezi kukubaliana nawewe, na hata kama ikitokea ukafanikiwa basi mafanikio yako yatakuwa na mipaka na mwisho wake yataanguka tu. Huko mbele utakwenda kujua kwanini nasema hivi.

Sifa kubwa ya kanuni yeyote ile ni kumfanikisha mtu yeyote yule anaye ifuata bila kujali ni mtu wa namna gani, (hata kama hamjui Mungu unaye mwamini wewe) bado atafanikiwa na wewe ambaye unamjua Mungu na haufuati KANUNI HII tarajia kufeli. Yaani kiufupi naweza kusema hivi Kanuni haimtupi anayeifuata.

Nakupongeza sana kwakujipatia nakala laini ya kitabu hiki kwasababu hakitakuacha kama ambavyo ulikuwa kabla ya kukisoma kwani kitabadilisha kabisa mtazamo wako kwenye maeneo yote ya maisha na kitakufanya uchukue hatua ya kutenda hata kabla haujakimaliza.

Kwenye hiki kitabu utakwenda kujifunza mambo mengi yahusuyo maandalizi ikiwemo tafsiri yake sahihi, ulazima wa kujiandaa kwa mtu mwenye kesho kubwa, umuhimu wa watu kwenye maandalizi yako, nafasi ya watu waliokutangulia kwenye mafanikio yako, dhana ya kazi na kufanya kazi pamoja na mambo mengine mengi sana.

Haujapoteza muda, bando na pesa yako kuwa na kitabu hiki. Karibu tuanze pamoja.


Others Also Bought

Nguvu ya Fikra
Nguvu ya Fikra
TZS 10,000 TZS 6,999
Add to cart
Nguvu ya Urafiki
Nguvu ya Urafiki
TZS 4,500 TZS 3,000
Add to cart
Siri ya nguvu iliyo ndani yako
Siri ya nguvu iliyo ndani yako
TZS 7,000
Add to cart

Cart

Cart is empty.

Log in

Incorrect password.




Forgot password?
Create an account
Login to existing account
My orders
My reviews
My details
Log out
  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.