Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Maendeleo binafsi
  • Nguvu ya umoja katika kundi

Nguvu ya umoja katika kundi

  5,000 TZS
Add to cart  

Kuna kauli inasema, "Kidole kimoja hakivunji chawa". Kauli hii inaweza kuonekana ya kawaida sana na wakati mwingine inaweza hata kupuuzwa na kuonekana kuwa imepitwa na wakati. Lakini si kweli, kwani Mungu mwenyewe anathamini sana umoja kati ya mtu na mtu (Zaburi 133:1-3). 

Kitabu hiki, Mungu alinipa mahususi kwa ajili ya kanisa lake pamoja na vikundi mbalimbali vilivyomo ndani ya kanisa. Katika kitabu hiki utajifunza mambo ya muhimu katika safari yetu ya kurudi kwa baba. 

Baadhi ya mambo utakayojifunza katika kitabu hiki ni pamoja na; 

  • Kwa nini tujifunze kuhusu Umoja katika Kundi? 
  • Nini kinachoweza kuharibu umoja? 
  • Nini kifanyike ili kurudisha umoja uliopotea? 
  • Hasara za kukosa Umoja, 
  • Faida za kuwa na Umoja. 

Kupitia kitabu hiki, utaona jinsi ambavyo Mungu anaguswa sana na Umoja wa watu waliokusudia kufanya jambo kwa ajili ya utukufu wake. Ni kitabu ambacho kimebeba hazina kubwa na kina umuhimu kwa kila mtu anayetamani kuyafikia malengo yake kwa kiwango kinachostahili na alichokusudiwa nacho. Jipatie nakala yako.


Others Also Bought

Tanuri la Furaha
Tanuri la Furaha
8,999 TZS
Miongozo ya Maisha ya Kijana ili Kuushinda Ulimwengu
Miongozo ya Maisha ya Kijana ili Kuushinda Ulimwengu
3,500 TZS
Ushindi katika hali ngumu
Ushindi katika hali ngumu
7,000 TZS 6,500 TZS
Jirani Yangu
Jirani Yangu
5,000 TZS 3,000 TZS

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2026. All rights reserved. | login