Nguvu ya umoja katika kundi
Kitabu hiki ni maalumu kwa watu wote walio katika vikundi mbalimbali, wanaotaka kutimiza malengo yao na maono yale waliojiwekea katika mipango yao.
Vikundi hivyo vinaweza kuwa familia, kanisa, sehemu, jimbo hata taifa kwa ujumla. Hivyo kitabu hiki ni maalumu kwa kila mtu aliye na kiu ya kufanikiwa jambo pamoja na mwenzake.
Ni kitabu ambacho ukikisoma kwa umakini sana, unaenda kuwa msaada kwa kanisa la Mungu ulimwenguni. Mungu akutie nguvu unapokisoma kitabu hiki.
Others Also Bought
Tanuri la Furaha
TZS 8,999
Ushindi katika hali ngumu
Jirani Yangu