Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Ndoa na mahusiano
  • Ndoa Yenye Nyufa: Siri Nyuma ya Pazia

Ndoa Yenye Nyufa: Siri Nyuma ya Pazia

TZS 25,000  TZS 15,000
Add to cart  

Dkt. Felix Peter Mkini ni mtaalamu mahiri katika nyanja ya afya, ustawi wa jamii, na saikolojia ya ushauri nasaha. Akiwa na uzoefu wa zaidi ya miaka kumi na tano katika kuhudumia jamii na kusaidia watu wanaopitia changamoto mbalimbali za maisha, hususani za changamoto za kifamilia na ndoa. Uzoefu wake wa kina katika kushughulika na matatizo ya watu katika nyanja mbalimbali, kihisia, na kisaikolojia umemwezesha kupata uelewa mpana na wa kipekee kuhusu mienendo ya wanandoa na athari za mazingira ya kijamii katika mahusiano yao.

Kitabu hiki, “Ndoa Yenye Nyufa: Siri Nyuma ya Pazia”, ni sehemu ya mwendelezo wa juhudi zake za kuelimisha jamii na kuandika vitabu vinavyogusa maisha halisi ya wanandoa. Kupitia maandiko haya, Dkt. Mkini anaweka alama ya kudumu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo kwa kuwapa maarifa, mwongozo wa vitendo, na mbinu za kujenga ndoa imara zinazostahimili misukosuko ya maisha ya kisasa.

Kwa kutumia weledi wake wa kisayansi na uzoefu wa kiutendaji, Dkt. Mkini amefanikisha kuandika kitabu ambacho si tu kinatoa maarifa bali kinachochea tafakari ya kina kwa kila msomaji. Analeta mtazamo wa kipekee unaochanganya nadharia na hali halisi, akieleza kwa lugha nyepesi changamoto zinazojificha ndani ya maisha ya ndoa na namna ya kuzitatua kwa hekima. Kitabu hiki ni zao la maono ya kitaalamu na moyo wa kujitolea, na kinatoa mchango wa thamani kwa wale wanaotafuta uelewa, amani, na mafanikio katika ndoa zao.



Others Also Bought

SWEEPING SHADOWS: Practical Solutions for Marriage
SWEEPING SHADOWS: Practical Solutions for Marriage
TZS 25,000
Add to cart
Una Wito wa Ndoa Kabla ya Ndoa?
Una Wito wa Ndoa Kabla ya Ndoa?
TZS 10,000
Add to cart
Fahamu Misingi na Kanuni za Ndoa
Fahamu Misingi na Kanuni za Ndoa
TZS 15,000 TZS 10,000
Add to cart

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.