Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Uchumi na biashara
  • Ichaji Akili Yako Ya Fedha

Ichaji Akili Yako Ya Fedha

  8,000 TZS
Add to cart  

Pesa zinasikia, zinaona na zina hisia. Pesa Zina kawaida ya kuitana, ndio maana zikiwepo sehemu kuna uwezekano zikaendelea kuongezeka. Kinachoamua kiwango cha pesa anachoweza kumiliki mtu, sio kiwango cha kipato wala aina ya chanzo cha kipato bali ni akili ya fedha aliyonayo mtu husika. 

Katika kila kazi kuna faida na utajiri. Kwa nini katika kazi ya aina moja wawepo wenye nazo na wasio nazo? Majibu ya swali hili yanapatikana katika kitabu hiki ambacho umalizapo kusoma utakutana na mguso wa mgeuko wa jumla katika eneo la fedha!


Others Also Bought

Deni la dhababu
Deni la dhababu
20,000 TZS
Usichokijua Kuhusu Biashara
Usichokijua Kuhusu Biashara
4,999 TZS
Kanuni ya Utajiri: Njia ya uhuru wa kifedha
Kanuni ya Utajiri: Njia ya uhuru wa kifedha
50,000 TZS

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2026. All rights reserved. | login