Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Afya na ustawi
    • Dini
    • Fasihi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Maendeleo binafsi
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Health and wellness
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Uchumi na biashara
  • Kwanini unafanya kazi sana lakini bado ni maskini

Kwanini unafanya kazi sana lakini bado ni maskini

7,000.00 TZS  3,000.00 TZS
Add to cart
Downloadable file How to buy

Fikiria mtu anayeamka kila siku saa kumi alfajiri, anaenda kazini, anafanya kazi masaa nane hadi kumi, anarudi nyumbani amechoka, na kesho anarudia mzunguko huo huo — kwa miaka kumi, ishirini, hata thelathini. Mshahara unaingia kila mwezi tarehe fulani. Lakini akiulizwa “una mali gani?”, jibu ni kirnya.

Hili ndilo fumbo kuu la kitabu hiki: kwa nini watu wengi wanaofanya kazi kwa bidii kubwa hawaishii kuwa na utajiri wowote wa kudumu? Kama kufanya kazi kwa bidii ndiyo njia pekee ya utajiri, kwa nini si kila mfanyakazi mzuri ni tajiri?

Kitabu hiki hakikusudii kukuambia kuwa kazi si muhimu — kazi ni muhimu sana. Kinakusudia kukuonyesha kuwa kazi peke yake, bila mfumo wa kuhifadhi, kuwekeza na kumiliki mali, haitaweza kuzalisha utajiri wa kudumu. Tutachunguza hili kutoka pande nyingi: uchumi, saikolojia, mfumo wa jamii, teknolojia, na tabia za kila siku za Kitanzania.


Others Also Bought

Kwanini Walokole wengi ni Maskini Katika Eneo la Uchumi
Kwanini Walokole wengi ni Maskini Katika Eneo la Uchumi
7,000.00 TZS
Hisa, Hatifungani, Vipande: Uwekezaji kwa ukuaji wa mtaji na kipato endelevu
Hisa, Hatifungani, Vipande: Uwekezaji kwa ukuaji wa mtaji na kipato endelevu
9,999.00 TZS

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2026. All rights reserved | Made with ❤️ in Tanzania.