Njia Tano za kufanya fedha ikufanyie kazi
Shipped by THE AUTHOR
How to buy
Kitabu hiki ni miongoni mwa vitabu ambavyo vimezungumzia kuhusu namna mtu anavyoweza kujua, kutambua pamoja na kutumia njia kuu tano zitakazomwezesha kusababisha fedha imfanyie kazi.
Kupitia kitabu hiki msomaji utajifunza kuhusu mambo yafuatayo:
- HISA.
- UTT AMIS PAMOJA NA MIFUKO YAKE.
- HATIFUNGANI.
- UWEKEZAJI KWENYE ARDHI NA MAJENGO.
- M-WEKEZA.
- MASUALA MBALIMBALI YA KIFEDHA.