Umeiweka Wapi Talanta Yako?
Downloadable file
How to buy
Je, unafahamu kwamba ule mfano wa talanta alioutoa Yesu Kristo uliwalenga walioajiriwa, waliojiajiri na wasio na ajira? Je, unafahamu kwamba ukiajiriwa ni sawa na kupeleka talanta kwa watoao riba? (benki). Nini kinaipata talanta yako unapoamua kuajiriwa? Ni mambo gani yaliyowafanikisha wale waliozalisha faida ukilinganisha na yule alieamua kuifukia?
Kitabu hiki kinakuletea majibu ya maswali haya na maarifa katika mtiririko ambao utabadilisha kabisa mtazamo na hatua zako katika eneo la kujiajiri, kuajiriwa na unapojikuta huna ajira.
Others Also Bought
Ingiza Gia Kubwa Itakayopaisha Uchumi Wako
Tumia Fursa Tengeneza Biashara
Jilipe mwenyewe kwanza
10,000.00 TZS
Wewe na Pesa
3,000.00 TZS