Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Uchumi na biashara
  • Wewe na Pesa

Wewe na Pesa

TZS 3,000

Paperback eBook
Add to cart  

Fedha kiungo muhimu cha kubadilishana bidhaa na huduma katika zama hizi inaonekana kutotosheleza mahitaji kila uchwao. Hali hii imepelekea watu wengi kulemewa na madeni yasiyolipika; je, nini kifanyike?

Kitabu hiki kimeandikwa kutafsiri changamoto mbalimbali za maisha zihusuzo masuala ya fedha. Mwandishi anakuletea mbinu mbalimbali ambazo unaweza kuzitumia ili fedha unazozipata sasa na zile utakazozipata katika siku za usoni ziweze kukusaidia kukabiliana na changamoto za maisha yako ya leo na kukuweka tayari kuikabili kesho ukiwa bora Zaidi kuliko jana na leo. Masuala kama madeni na tiba yake, chuma ulete?, kutimia kwa ndoto, siku muhimu katika maisha, napataje mtaji yamejadiliwa.

Mwandishi anakusudia kwa dhati kwamba kurasa za kitabu hiki ziguse maisha yako na kuyafanya kuwa bora Zaidi.


Recommended for you

Mambo 7 Ya Muhimu Kuhusu Fedha
Mambo 7 Ya Muhimu Kuhusu Fedha
TZS 4,900
View options
Ijue Elimu ya Fedha
Ijue Elimu ya Fedha
TZS 10,000 TZS 5,000
View options
FURSA, UTASHI NA UHURU WA FEDHA
FURSA, UTASHI NA UHURU WA FEDHA
TZS 15,000
View options

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.