Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Uongozi na usimamizi
  • Gharama za Uongozi

Gharama za Uongozi

TZS 7,500

Paperback eBook
Add to cart  

Ukiwa kiongozi kuna bei na gharama za kulipa; Haijalishi u kiongozi wa kiroho, wa kisiasa, wa kibiashara, au kifamilia. Haijalishi unaongoza taasisi au kampuni, unaongoza watu wengi au wachache. Gharama za kulipa zipo pale pale.

Kitabu hiki kinachambua kwa kina gharama 17 ambazo viongozi hukabiliana nazo katika Uongozi. Ni vizuri kwa viongozi kuzijua gharama mapema ili wajiandae kuzilipia pale inapohitajika kufanya hivyo. Viongozi wengi hawazijui gharama za uongozi, wanaingia katika uongozi bila kuhesabu gharama, na baadaye gharama zinapoanza kudai kulipwa wanachanganyikiwa.

Hakika kitabu hiki kitakuinua, kukujenga, na kukuimarisha zaidi katika majukumu yako ya kiuongozi.


Recommended for you

Ijue Elimu ya Uongozi
Ijue Elimu ya Uongozi
TZS 5,000
View options
Jinsi ya kufanikiwa katika uongozi
Jinsi ya kufanikiwa katika uongozi
TZS 10,000
View options
Kufanyika kuwa Kiongozi
Kufanyika kuwa Kiongozi
TZS 7,500
View options

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.