Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Uongozi na usimamizi
  • Kiongozi Aliyechoka

Kiongozi Aliyechoka

TZS 7,500

Paperback eBook
Add to cart  

Tunaishi katika ulimwengu uliojaa viongozi waliochoka, mfumo wa maisha umepelekea kuwa na viongozi wa namna hii, na wengi hufa mapema kwa sababu ya kuchoka. Kutokana na shinikizo la maisha na kutaka kufanikiwa viongozi wengi huteketeza na kupoteza nguvu zao kwa kasi. Majukumu ya kihuduma wanayofanya kila siku yananyonya na kuteketeza nguvu zao (kimwili, kihisia, kiakili na kiroho) na kama hawana maarifa ya kuzirejeza watajikuta kwenye hali ya uchovu kisha kuteketea kabisa kwa nguvu. Hali hii itaathiri afya zao, akili zao, hisia na roho zao pia.

Kila kiongozi anapaswa kujilinda na hali hii kwa kujua dalili za uchovu na tiba yake, na nini afanye kuzijereza nguvu zake pale zinapoteketea. Katika kitabu hiki utapata fursa ya kujifunza mambo muhimu ya kukusaidia na kukuongezea maarifa na ufahamu juu ya eneo hili muhimu.


Recommended for you

Uadilifu wa Kiongozi
Uadilifu wa Kiongozi
TZS 7,500
View options
Kufanyika kuwa Kiongozi
Kufanyika kuwa Kiongozi
TZS 7,500
View options
Kuanguka kwa Kiongozi
Kuanguka kwa Kiongozi
TZS 7,500
View options
Ijue Elimu ya Uongozi
Ijue Elimu ya Uongozi
TZS 5,000
View options

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.