Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Uongozi na usimamizi
  • Kiongozi Mtumishi

Kiongozi Mtumishi

TZS 7,500

Paperback eBook
Add to cart  

Katika kanisa la leo, dhana ya uongozi wa kiutumishi inaporomoka kwa kasi. Tuna viongozi wengi, lakini tuna viongozi watumishi wachache. Hitaji kubwa la kanisa leo sio viongozi tu, bali viongozi watumishi. Falsafa ya uongozi aliyotuachia Yesu Kristo miaka zaidi ya 2000 iliyopita ya kuwa kiongozi ni mtumishi inatekelezwa kwa udhaifu sana.

Viongozi wengi sio watumishi tena bali ni watumikiwa. Hawapo kutumikia tena wapo kutumikiwa.

Katika kitabu hiki, mambo muhimu kuhusu Uongozi wa kiutumishi yamefundishwa, nayo yatabadilisha kabisa mtazamo wako kuhusu uongozi.

  • Maana ya utumishi
  • Utumishi katika maisha ya Yesu Kristo
  • Uongozi wa kiutumishi na misingi yake
  • Uongozi usiofaa usio wa kiutumishi
  • Kanuni za uongozi wa kiutumishi
  • Tabia za kiongozi mtumishi


Recommended for you

Gharama za Uongozi
Gharama za Uongozi
TZS 7,500
View options
Kufanyika kuwa Kiongozi
Kufanyika kuwa Kiongozi
TZS 7,500
View options

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.