Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • Sign in

Recent Posts

  • Mfahamu Mwandishi: Khalifa L. Simion - Mwandishi anayeigusa jamii ya Kiislamu
    10 Sep, 2026
  • Mfahamu Mwandishi: Daudi Lubeleje - Mwandishi nyuma ya vitabu 14
    5 Sep, 2026
  • Vitabu 25+ vya Biashara, Fedha na Uchumi
    27 Aug, 2026
  • Book review: Amazing Animal Coloring Book for Kids
    11 Jul, 2026
  • Mapitio ya kitabu: Utambulisho Wako Katika Kristo
    21 Jun, 2026
  • Mapitio ya Riwaya: Mimi Ashraf
    3 Jun, 2026
  • Vitabu 6 Bora vya Uwekezaji na Uhuru wa Kifedha kwa Kiswahili
    20 May, 2026

Categories

  • Book Recommendations
  • Book Reviews
  • Help & Support
  • Offers and discounts
  • Reading Habits & Tips
  • Writing, Publishing & Author Support
  • Author Spotlight

Start selling your book or course on our website — reach more readers

You will enjoy high book visibility, get paid on time and receive a monthly sales report straight to your inbox.

Start selling →

NJIA MBILI MUHIMU ZA KUUZA KITABU KWA MASHABIKI WAKO

April 14, 2021 at 3:34 pm,


Unapoandaa mpango wako wa kuzindua kitabu, kuuza kitabu chako kwa mashabiki wako liwe ni jambo la kwanza. Kuna njia nyingi unaweza tumia kumnasa shabiki wako anunue kitabu chako. Kati ya njia hizo, kuna hizi chache za kuanzia;


1.       Mpe zawadi kwa shabiki wako. Usiseme kwa shabiki wako nunua kitabu changu kipya halafu ukaishia hapo, endelea kumwambia, ukinunua kabla ya tarehe fulani utapata bure kitabu changu fulani kama zawadi yako au ukinunua kitabu changu utapata mwezi mmoja bure wa kujiunga na kozi yangu fulani. Jambo la muhimu hapa ni shabiki apate kitabu na zawadi yako ambayo itakuwa nyongeza yake.

2.       Fanya kampeni kwa kutumia imeli. Ili kutumia njia hii lazima uwe na orodha ya imeli za mashabiki wako. Kitangaze kitabu chako kwa kutumia imeli utakazotuma kwa mashabiki wako. Isiwaandikie nunua kitabu changu, la! Wape sehemu ya kitabu chako bure, mfano sura ya kwanza na watanunue ili kusoma sehemu iliyobakia. Usitume imeli nyingi, angalau kwa wiki, tuma imeli kuanzia tatu mpaka nne.

Lengo la “uza kwa mashabiki” wako kama sehemu ya kwanza katika uzinduzi wa kitabu ni; (i) inakusaidia kila mtu kujua kuhusu kitabu chako kwamba kimetoka na kinapatikana (ii) inakusaidia kumfanya mashabiki aseme hapana kununua kitabu chako.

Get a Free Ebook

Enter your email to download a free ebook: Hatua 6 za Kuandika Kitabu 

Thank you!

You have successfully joined our subscriber list.

.




Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
  • Sign in
DL Bookstore © 2026. All rights reserved | Made with ❤️ in Tanzania.