Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support

Unatamani kuandika kitabu? Fuata hatua hizi 4

May 26, 2022 at 3:29 pm


Unatamani kuandika kitabu lakini unakwama? Tumekuandalia hatua hizi nne rahisi za kukusaidia wewe kutimiza ndoto yako ya kuandika kitabu chako. Fuata hatua hizi nne,


1. Anza na kujiuliza kwanini unataka kuandika. Je! Unataka kuongeza uandishi kama chanzo cha kujipatia kipato?, Je! Unataka kutimiza ndoto ya maisha ya kuwa mwandishi?, Je! Unataka kutoa majibu ya changamoto fulani kupitia kitabu utakachoandika?

Tip: Andika chini angalau sababu tano kwanini unataka kuandika kitabu.

2. Chagua tanzu unayotaka kuandikia. Tanzu za uandishi ziko nyingi, mfano, riwaya ambazo tena zimegawanyika zaidi, kuna riwaya za taharuki, mapenzi, na n.k, kuna biashara, siasa, taaluma. Wewe unataka uandike kwenye tanzu ipi?

Tip: Angalia kipaji chako kinakuelekeza wapi. Angalia ni wapi pale unapoandika unafurahia na kuona wepesi zaidi.


PAY LESS, MORE BOOKS

Get any book you would love to read for almost free!

New books → Sell your book here →


3. Fanya mazoezi ya kuandika sasa. Uandishi unataka uandike. Andika na chapisha kwenye mitandao ya kijamii, makundi sogozi ya WhatsApp na n.k

Tip: Usihofie kuhusu utakachoandika. Anza kuandika utajikosoa baadaye

4. Kusanya ulichoandika na ongeza maudhui zaidi. Chagua katika vingi utaandika, hasa vile utapewa mrejesho na wasomaji wako, kusanya, fanya uhariri na ukipata kurasa 30+ boooom! Kitabu tayari

Tip: Uandishi huwa unakua, utaanza na hatua sifuri baadaye utafika hatua 100, usiogope kitabu kitapokelewaje, wewe toa kitabu.

Ukweli mchungu ni kuwa si kila mtu atapenda kitabu chako. Lakini jambo la uhakika, utakuwa na watu watakaopenda vitabu vyako.  Hao wakupe hamasa ya kuandika zaidi na utaendelea kuwa bora kwenye uandishi.

___

Kujifunza zaidi, unaweza kusoma kozi hii;

Jinsi ya kuandika na kutoa eBook

What you will learn

  • Kwa nini utoe ebook?
  • Suluhisho la kukosa kitu cha kuandika
  • Hatua sita za kuandika ebook
  • Napataje muda wa kuandika ebook?
  • Uandike wapi?
  • Mchakato wa kutoa eBook – I
  • Mchakato wa kutoa eBook - II

Requirements

  • Ili kusoma kozi hii utahitaji barua pepe inayofanya kazi, Mada zote za kozi zitatumwa kwenye barua pepe yako. Mfano wa barua pepe ni [email protected]

Certificate

  • Kozi hii ina cheti cha kuhitimu. Utaisoma kwa siku nane (8) na utapokea cheti mara baada ya kumaliza kozi.

Course fee

  • Gharama ya kozi hii ni TZS 17000. Malipo yafanywe kwenda MPESA - 0764771298 (Daudi Lubeleje) au TIGOPESA - 0653740098 (Daudi Lubeleje)

Registration

  • Upo tayari kuanza kusoma kozi hii? Jisajili sasa hapa chini kwa kuweka taarifa zako zote za muhimu

Note: Ukimaliza kujisajili, ingia kwenye baruapepe yako, kuna maelezo ya jinsi ya KUANZA KOZI hii nimekutumia tayari.

Usajili umekamilika!

Umebakiza hatua moja tu ya kulipia kozi

Gharama ya kozi ni Tsh. 17000*

Lipia kwenda mojawapo ya namba [Jina ni Daudi Lubeleje] hizi;

  • MPESA - 0764 771 298
  • TIGOPESA - 0653 740 098

Ukimaliza kulipia, fungua barua pepe yako, kupata password ya kuingia kwenye kozi na anza kozi yako mara moja!.

__________

*Kama una kuponi ya punguzo, lipia ile gharama baada ya punguzo


Au kozi hii;

Mbinu tatu za kutumia unapotaka kuandika kitabu

What you will learn

  • Kujifahamu wewe ni aina gani ya mwandishi
  • Kujua aina gani ya kitabu uandike
  • Kufahamu njia tatu za kuandika kitabu
  • Kuchagua njia itakayokufaa ya kuandika kitabu
  • Mambo manne (4) ya kuzingatia wakati unaandika kitabu

Requirements

  • Ili kusoma kozi hii utahitaji barua pepe inayofanya kazi, Mada zote za kozi zitatumwa kwenye barua pepe yako. Mfano wa barua pepe ni [email protected]

Certificate

  • Kozi hii ina cheti cha kuhitimu. Utaisoma kwa siku sita (6) na utapokea cheti mara baada ya kumaliza kozi.

Course fee

  • Gharama ya kozi hii ni TZS 11000. Malipo yafanywe kwenda MPESA - 0764771298 (Daudi Lubeleje) au TIGOPESA - 0653740098 (Daudi Lubeleje)

Registration

  • Upo tayari kuanza kusoma kozi hii? Jisajili sasa hapa chini kwa kuweka taarifa zako zote za muhimu

Note: Ukimaliza kujisajili, ingia kwenye baruapepe yako, kuna maelezo ya jinsi ya KUANZA KOZI hii nimekutumia tayari.

Usajili umekamilika!

Umebakiza hatua moja tu ya kulipia kozi

Gharama ya kozi ni Tsh. 11000*

Lipia kwenda mojawapo ya namba [Jina ni Daudi Lubeleje] hizi;

  • MPESA - 0764 771 298
  • TIGOPESA - 0653 740 098

Ukimaliza kulipia, fungua barua pepe yako, kupata password ya kuingia kwenye kozi na anza kozi yako mara moja!.

__________

*Kama una kuponi ya punguzo, lipia ile gharama baada ya punguzo


Karibu kwa maoni yako kwenye comments

Recent Posts

  • Mambo 10 ya Kujifunza Kutoka Kitabu cha Hamasika Kila Siku
    29 Jun, 2025
  • Download Vitabu 7 vya Fedha (PDF)
    19 Jun, 2025
  • Kutoka Daftari Hadi Kitabu Halisi: Jinsi ya Kugeuza Maandishi Yako Kuwa Kitabu
    16 May, 2025
  • Umechoka na Minyama Uzembe? Suluhisho la Kupungua Uzito Limepatikana!
    17 Apr, 2025
  • Vitabu Bora vya Pasaka vya Kukuimarisha Kiroho – Vinapatikana Sasa DL Bookstore
    11 Apr, 2025
  • 4 Benefits of Selling Your Book Through DL Bookstore
    20 Mar, 2025
  • Download Entrepreneurship Books (PDF) in Swahili
    10 Feb, 2025

selling_book-1.png

Enroll in 100% free courses

100% free courses on writing, publishing, and marketing of books. Time to dive in!

Start learning →

Cart

Cart is empty.

Log in




Forgot password?
Create account
Login to existing account
My orders
My reviews
My details
Log out
  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2018 - 2025. All rights reserved.