Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support

Naandikaje kitabu? sasa kimetoka!

September 27, 2022 at 12:21 pm,


Kitabu changu cha NAANDIKAJE KITABU?  kimetoka. Kabla sijaweka kwa watu wengine zaidi, nakwambia wewe kwanza kwa sababu ni mtu muhimu kwangu.


Kitabu kinahusu nini?

Kitabu hiki ni toleo lililoboreshwa la kitabu cha Mbinu Rahisi Za Kuandika Kitabu. Wakati nilipotoa kitabu cha Mbinu Rahisi Za Kuandika Kitabu nililenga kuwasaidia watu wanaotaka kuingia kwenye uandishi wa vitabu lakini hawana watu wa kushika mkono ili kufanikisha ndoto zao.

Lengo bado ni lile lile isipokuwa nimeboresha zaidi na kufanya marekebisho fulani fulani baada ya kupokea maoni kutoka kwa wasomaji wengi waliosoma kitabu.

Katika toleo hilo jipya, nimeongeza vitu vingi ambavyo naamini, unapokisoma kitabu hiki utatoka ukiwa na nguvu mpya ya kuandika kitabu chako na hatimaye kutimiza ndoto yako ya kuwa mwandishi wa kitabu.

Naandikaje kitabu? Ni swali ambalo nimejibu katika kurasa zinazofuata. Mimi naamini, kuandika kitabu ni ujuzi ambao kila mtu anawez kujifunza

Kinapatiana wapi?

Kwanza nataka ujue kwamba, NIMEKUPA WEWE PEKE YAKO TU!, utakipata kwa Tsh. 3000 tu. Kinapatikana kwenye majukwaa yafuatayo,

Nenda DL Bookstore

Nenda Getvalue

Note: Ukienda DL Bookstore, tumia Visa ya Mpesa au Mastercard ya AirtelMoney kulipia. Kama utaenda Getvalue tumia namba yako ya kawaida ya mpesa, tigopesa, halopesa na kadhalika ili kulipia.

Zimebaki siku ngapi ofa hii niliyokupa iishe? Ofa itaisha baada ya siku 8.

Credit: DaudiPages

Karibu kwa maoni



Recent Posts

  • Umechoka na Minyama Uzembe? Suluhisho la Kupungua Uzito Limepatikana!
    17 Apr, 2025
  • Vitabu Bora vya Pasaka vya Kukuimarisha Kiroho – Vinapatikana Sasa DL Bookstore
    11 Apr, 2025
  • 4 Benefits of Selling Your Book Through DL Bookstore
    20 Mar, 2025
  • Download Entrepreneurship Books (PDF) in Swahili
    10 Feb, 2025
  • Download Nine (9) Must-Read Books for Girls and Women 📚✨
    4 Feb, 2025
  • A Tanzanian Platform for Selling Books Online
    4 Feb, 2025
  • Jinsi ya Kuandika Caption Inayochochea Mauzo ya Kitabu Chako
    23 Nov, 2024

selling_book-1.png

Enroll in 100% free courses

100% free courses on writing, publishing, and marketing of books. Time to dive in!

Start learning →

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.