Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Dini
  • Historia ya Mitume wa Yesu na Vifo vyao

Historia ya Mitume wa Yesu na Vifo vyao

5,000 TZS  3,000 TZS
Add to cart  

Biblia katika Waefeso 2:20 inasema, "Mmejengwa juu ya msingi wa Mitume na Manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni. Katika yeye jengo lote linaunganishwa vema na kukua hata liwe hekalu takatifu kwa Bwana. Katika yeye ninyi nanyi mnajengwa pamoja na kuwa maskani ya Mungu katika Roho" Kuwafahamu na kuwaelewa Mitume wa Yesu ni jambo ambalo halikwepeki, kwa kuwa kanisa "limejengwa juu ya msingi wa Mitume na Manabii". 

Pia, hata Wakristo wa Kanisa la kwanza walidumu katika fundisho la Mitume. Tunasoma katika maandiko hivi, "Wakawa wakidumu katika fundisho la Mitume...." katika Matendo 2:42. Mitume hawa hawa walichaguliwa na Bwana Yesu mwenyewe ili wawe kiungo kati yake na waumini wake ulimwenguni mwote, wakikabidhi mafundisho yake na kushuhudia maisha yake yote tangu ubatizo wake hadi kifo chake na kipekee zaidi kufufuka kwake. 

Walitakiwa kukubali kufa kwa ajili ya ushuhuda huo na ndivyo walivyofanya katika kulitimiza agizo hilo. Hata sisi leo, Biblia inatutia moyo na kutuagizavkuwa na ujasiri huo huo kama uliokuwa ndani ya Mitume kwani Bwana Yesu aliahidi kuwa nasi hata ukamilifu wa dahari. Katika kitabu utajua maisha ya kila mwanafunzi wa Yesu, jinsi alivyoitwa, huduma yake na jinsi alivyokufa. 

Kumbuka, Biblia inataja vifo vya wanafunzi wawili tu ambao ni Yuda Iskariote na Yakobo Mkubwa, mwana wa Zebedayo lakini wale 10 hakuna mahali Biblia inataja vifo vyao, lakini kupitia kitabu hiki utafahamu hayo yote na mengine mengi. Jipatie kitabu chako uyajue mambo mengi usiyoyajua kuhusu Wanafunzi wa Yesu.


Others Also Bought

Kitabu cha Henoko Kilichokamilika
Kitabu cha Henoko Kilichokamilika
10,000 TZS
Usiyoyajua kuhusu Samsoni
Usiyoyajua kuhusu Samsoni
4,999 TZS
Mambo Muhimu kwa Mwalimu wa Biblia Unapoandaa Somo
Mambo Muhimu kwa Mwalimu wa Biblia Unapoandaa Somo
5,000 TZS 4,500 TZS
Utumishi Unaotimiza Mapenzi ya Mungu
Utumishi Unaotimiza Mapenzi ya Mungu
5,000 TZS 3,999 TZS

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2026. All rights reserved. | login