Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Historia ya Mitume wa Yesu na Vifo vyao

Historia ya Mitume wa Yesu na Vifo vyao

TZS 5,000

Hardcopy Softcopy
Add to cart  

Historia ya Mitume wa Yesu na Vifo Vyao ni kitabu ambacho kimekusudia kueleza jinsi wanafunzi wa Yesu walivyoweza kukutana na Yesu, walivyoweza kufanya huduma pamoja naye wakati ule alipokuwa hai, lakini pia kinaeleza huduma yao wakati Yesu alipokuwa amekufa, amefufuka pamoja na kupaa kurudi mbinguni.

Zaidi sana, katika kitabu hiki utajifunza kifo cha kila mwanafunzi wa Yesu, kuanzia wa kwanza hadi wa mwisho. Na kati ya wanafunzi 12, aliyekufa kifo cha Kawaida ni Mtume Yohana, na Biblia imetaja vifo vya Yakobo Mkubwa na Yuda Iskarioti.


Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.