Historia ya Mitume wa Yesu na Vifo vyao
Historia ya Mitume wa Yesu na Vifo Vyao ni kitabu ambacho kimekusudia kueleza jinsi wanafunzi wa Yesu walivyoweza kukutana na Yesu, walivyoweza kufanya huduma pamoja naye wakati ule alipokuwa hai, lakini pia kinaeleza huduma yao wakati Yesu alipokuwa amekufa, amefufuka pamoja na kupaa kurudi mbinguni.
Zaidi sana, katika kitabu hiki utajifunza kifo cha kila mwanafunzi wa Yesu, kuanzia wa kwanza hadi wa mwisho. Na kati ya wanafunzi 12, aliyekufa kifo cha Kawaida ni Mtume Yohana, na Biblia imetaja vifo vya Yakobo Mkubwa na Yuda Iskarioti.
Others Also Bought

Kitabu cha Henoko Kilichokamilika
Not available

Usiyoyajua kuhusu Samsoni
TZS 4,999

Utumishi Unaotimiza Mapenzi ya Mungu

Nguvu ya Urafiki