Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Dini
  • Ishara 12 za kuwatambua manabii na waalimu wa uongo

Ishara 12 za kuwatambua manabii na waalimu wa uongo

TZS 10,000  TZS 5,000
Add to cart  

Suala linalohusu kuwatambua manabii na waalimu wa uongo, limekuwa linaleta shida sana kwa watu wengi, kwa sababu manabii na waalimu hao wa uongo wanapokuja kwa watu kuleta ujumbe wao hudai “tumetumwa na Mwenyezi Mungu kuleta ujumbe wake na hivyo kuwataka wanadamu kuupokea, kuuamini na kuufuata”. 

Inapotokea nabii au mwalimu amekuja kwa mtindo huo na akakutana na watu wasiojua kuwapambanua manabii na waalimu kwa misingi ya Neno la Mungu, ndipo ukengeufu hutokea, na makundi ya aina mbalimbali ya imani za uongo hujitokeza. Hivyo lengo la kitabu hiki ni kukupa maarifa katika msingi wa Neno la Mungu, kuweza kuwatambua manabii na waalimu wa uongo.


Others Also Bought

Utimilifu wa majuma 70 ya unabii wa kitabu cha Danieli na unabii wa siku za mwisho
Utimilifu wa majuma 70 ya unabii wa kitabu cha Danieli na unabii wa siku za mwisho
TZS 7,000
Add to cart

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.