Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Dini
  • Maisha na Wito Uliotukuka wa Baba Askofu John Ramadhani

Maisha na Wito Uliotukuka wa Baba Askofu John Ramadhani

  10,000.00 TZS
Add to cart  

Mwenendo wa Askofu katika kumuwakilisha Yesu Kristo Katika jamii hata jamii ikakushuhudia hivyo ni msingi wa agizo la Bwana wetu Yesu Kristo. Yesu alituambia mtu akita kunifuata na ajikane nafsi yake, kisha ajitwike msalaba wake anifuate kila siku – Luka 9:23-25.

Huduma ya Baba Askofu John Ramadhani ilijikita katika kuiishi aya hii. Mbinu zake za kuyaishi haya zinavutia na kufurahisha. Alikuwa mtu muadilifu mwenye utumishi usiolaumika.

Karibu tujifunze mbinu zake katika kuishi Maisha ya Kikristo yenye tija katika Kanisa la Mungu.


Others Also Bought

Zijue nyakati na majira katika mpango wa Mungu
Zijue nyakati na majira katika mpango wa Mungu
7,000.00 TZS
Mduara wa dhambi
Mduara wa dhambi
5,000.00 TZS 3,999.00 TZS
Nguvu ya Maamuzi
Nguvu ya Maamuzi
7,000.00 TZS
Agano Lililo Bora
Agano Lililo Bora
9,999.00 TZS 6,999.00 TZS

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2026. All rights reserved.