Maisha na Wito Uliotukuka wa Baba Askofu John Ramadhani
Mwenendo wa Askofu katika kumuwakilisha Yesu Kristo Katika jamii hata jamii ikakushuhudia hivyo ni msingi wa agizo la Bwana wetu Yesu Kristo. Yesu alituambia mtu akita kunifuata na ajikane nafsi yake, kisha ajitwike msalaba wake anifuate kila siku – Luka 9:23-25.
Huduma ya Baba Askofu John Ramadhani ilijikita katika kuiishi aya hii. Mbinu zake za kuyaishi haya zinavutia na kufurahisha. Alikuwa mtu muadilifu mwenye utumishi usiolaumika.
Karibu tujifunze mbinu zake katika kuishi Maisha ya Kikristo yenye tija katika Kanisa la Mungu.
Others Also Bought
Zijue nyakati na majira katika mpango wa Mungu
7,000.00 TZS
Mduara wa dhambi
Nguvu ya Maamuzi
7,000.00 TZS
Agano Lililo Bora