Maisha na Wito Uliotukuka wa Baba Askofu John Ramadhani
Mwenendo wa Askofu katika kumuwakilisha Yesu Kristo Katika jamii hata jamii ikakushuhudia hivyo ni msingi wa agizo la Bwana wetu Yesu Kristo. Yesu alituambia mtu akita kunifuata na ajikane nafsi yake, kisha ajitwike msalaba wake anifuate kila siku – Luka 9:23-25.
Huduma ya Baba Askofu John Ramadhani ilijikita katika kuiishi aya hii. Mbinu zake za kuyaishi haya zinavutia na kufurahisha. Alikuwa mtu muadilifu mwenye utumishi usiolaumika.
Karibu tujifunze mbinu zake katika kuishi Maisha ya Kikristo yenye tija katika Kanisa la Mungu.
Others Also Bought
 
                                                                                            
                                                Mduara wa dhambi
                                            
                                        
                                                                                     
                                                                                            
                                                Nguvu ya Maamuzi
                                            
                                        
                                                                                    
                                                                                                                                                        TZS 7,000
                                                                                            
                                                                             
                                                                                            
                                                Agano Lililo Bora
                                            
                                        
                                                                                     
            