Mbeba Maono: Lango linalobeba hatima ya wengi
MBEBA MAONO ni kitabu kinachoelezea ukweli kuhusu mbeba maono na nguvu iliyopo ndani yake kwani ni lango linalobeba hatima ya wengi.
Kitabu hiki kimeeleza kwa undani namna ya kumtambua mbeba maono, kwanini tunapaswa kuunganisha nguvu zetu kumlinda na namna anavyoweza kusimama kuacha alama isiyofutika akiondoka hapa duniani.
Fuatana nami katika kitabu hiki ili uweze kupata siri nzito iliyojificha ndani ya mbeba maono ili umsaidie kutimiza maono yake.
Others Also Bought
Mambo Muhimu kwa Mwalimu wa Biblia Unapoandaa Somo
Gharama ya kubarikiwa
5,000 TZS
Lishinde Jaribu
5,000 TZS
Maono ya Mbinguni
8,000 TZS
Mduara wa dhambi