Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Nguvu ya Maamuzi

Nguvu ya Maamuzi

TZS 7,000

Hardcopy Softcopy
Add to cart  

Hatima ya maisha ya mtu ni matokeo ya matendo yake, matendo yake ni matokeo ya maamuzi yake, na maamuzi yake ni matokeo ya fikra zake.

Fikra za mtu zinaweza kuboreshwa na kukuzwa, unaweza kuboresha na kukuza fikra zako kwa kupata maarifa sahihi, kitabu hiki kinayo maarifa sahihi ya ki-ungu na kutosha kuboresha na kukuza fikra zako.

Maisha ya mtu ni matokeo ya maamuzi ambayo amekuwa akifanya. Hauwezi kustawi zaidi ya maamuzi ambayo umekuwa ukifanya na wala hauwezi kukwama zaidi ya maamuzi ambayo umekuwa ukifanya katika maisha yako.

Pitia kitabu hiki, fikra zako zitaboreshwa na kukuzwa, na kukuwezesha kuwa mtu mwenye maamuzi yenye nguvu ya kukufikisha kwenye hatima ambayo, Mungu amekusudia uifikie kwenye maisha yako.


Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.