NGUVU YA ULIMI
Jinsi gani maneno yanaumba vitu kwenye maisha ya mtu, aidha ni hadi au changa. Maisha unayoishi sasa, kwa asilimia kubwa ni matokeo ya maneno ambayo aidha waliyasema waliokutangulia (wazazi, wazee wa ukoo, hasa maagano) au wewe mwenyewe. Kuna wakati huhitajiki kumlaumu mtu kwa hali inayopitia kimaisha, ila unatakiwa kuchunguza maneno yako huwa yanaumba vitu gani kwenye maisha yako.
Na matokeo yake kama vile umasikini, tabia mbaya, magonjwa, roho ya kukataliwa, uongozi au utajiri, huwatokea watu bila kujua ni kwanini. Lakini ukweli ni kwamba kuna maneno yalitolewa kwenye maisha yako, na hayo yamekuwa yanaumba vitu kwako, na kwa vizazi vyako
Others Also Bought
Chochea Kipaji Chako
Mwingine sio wewe
5,000.00 TZS