Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Onyo la Mwisho kwa Kanisa la Siku za Mwisho

Onyo la Mwisho kwa Kanisa la Siku za Mwisho

TZS 7,000

Hardcopy Softcopy
Add to cart  

Msururu wa matukio ya kinabii ya siku za mwisho na kurudi Yesu unafunua vyema majira na nyakati tulizo nazo za siku za mwisho. Maarifa kuongeka na kukua Kwa sayansi na teknolojia, huku DUNIA ikijiandaa na muundo wa SERIKALI MOJA, sarafu Moja, uchumi Mmoja, Huku tukitazamia UJIO wa Yesu kwa kanisa, mpinga kristo na utawala wake na kipindi Cha mwisho wa nyakati

Dhumuni kuu la kitabu hiki ni kuwaandaa waamini kujua majira na nyakati na kujiweka tayari ili waweze kupona na nyakati mbaya za kutisha zilizo anza kuikabili DUNIA katika nyakati zetu hizi ya siku za mwisho. Kitabu hiki kimejikita maandiko matakatifu, kitabu cha Danieli na Ufunuo (Danieli 12:4).


Recommended for you

Utimilifu wa majuma 70 ya unabii wa kitabu cha Danieli na unabii wa siku za mwisho
Utimilifu wa majuma 70 ya unabii wa kitabu cha Danieli na unabii wa siku za mwisho
TZS 7,000
View options
Kitabu cha Henoko Kilichokamilika
Kitabu cha Henoko Kilichokamilika
TZS 10,000 TZS 5,000
View options
HILI NI NENO LA KUFAA KWAKO - Siku 21 za kukua, kujijenga na kujiimarisha kiroho
HILI NI NENO LA KUFAA KWAKO - Siku 21 za kukua, kujijenga na kujiimarisha kiroho
TZS 15,000
View options

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.