Siri ya Kusamehe na Kuachilia
Kitabu hiki kinaeleza kwa undani umuhimu wa kusamehe na kuachilia mtu yeyote aliyekukosea au jambo lolote lililoondoa amani moyoni mwako.
Ni kitabu kizuri sana ambacho Roho Mtakatifu amekusudia kuleta uponyaji na matengenezo kwa mtu mmoja mmoja, kanisa na jamii kwa ujumla.
Others Also Bought

Nguvu ya Urafiki

FALSAFA ZA JPM
TZS 5,000

Kusifu na kuabudu katika Roho na kweli

Muda na Wazazi
TZS 15,000