Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • SUB ROSA - Maisha Nyuma Ya Pazia

SUB ROSA - Maisha Nyuma Ya Pazia

TZS 4,000


Add to cart  

Mwonekano wa nje unaweza kuwa tofauti na uhalisia wa ndani wa mtu. Maneno ya mtu yanaweza kuwa tofauti na uhalisia. Mtu mmoja aliwahi kusema "mwanasiasa akikuambia usiku mwema, Toka nje ukaangalie kama ni usiku kweli". Kauli hii ilimaanisha maneno wanayoongea wanasiasa hayana uhalisia japo inaweza isiwe Kwa wote.

Uhalisia unabaki kuwa, siku ya mwisho Kuna watu hawataingia mbinguni na itashangaza machoni pa wengine maana waliwaona Kwa mtazamo mwingine. Kupitia kitabu hiki utaenda kujifunza mambo mengi yanayohusiana na utumishi lakini pia namna ya kutembea sawasawa na mapenzi ya Mungu.

Tunaishi katika nyakati za mwisho, mwana wa Mungu nakusihi uwe macho sana usije ukapoteza mahusiano yako na Mungu.


Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.