Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Utumishi Unaotimiza Mapenzi ya Mungu

Utumishi Unaotimiza Mapenzi ya Mungu

★★★★★ (1)
TZS 3,500  TZS 3,000

Hardcopy Softcopy
Add to cart  

Changamoto si kumtumikia Mungu, ila ni kuyatimiza mapenzi ya Mungu kwenye utumishi ambao Mungu anakuwa amekuitia kutumika.

Kuingia kwenye utumishi ni kuitikia wito na kuyapokea majukumu ambayo Mungu anakupatia. Kumbe basi, mwamini yeyote anayesema hana utumishi, inakuwa si kwamba hana utumishi ila hajataka kuyapokea majukumu (kuitikia wito) kutoka kwa Mungu.

Tunapoingia kwenye utumishi yako mambo mengi tunayokutana nayo, mengine yanatutia nguvu na hamasa ya kuendelea mbele, na mengine yanatuvunja moyo kiasi cha kutaka kuacha utumishi wetu. Kabla hujafikiria kuacha utumishi, mwangalie Yesu kwanza alifanya nini kwenye utumishi wake, na ndani ya kitabu hiki tutajifunza mambo mengi kwa kumwangalia Yesu. Tutakubaliana kwamba Yesu ndiye kielelezo chetu kwenye mambo yote yahusuyo utumishi.

Kwa maneno haya machache, nikukaribishe sasa kusoma kitabu hiki. Ni maombi yangu kitabu hiki kiyaathiri maisha yako kwenye eneo la utumishi – furahia kumtumikia Mungu!

Amen


Recommended for you

Chochea Kipaji Chako
Chochea Kipaji Chako
TZS 5,000 TZS 4,500
View options
Mambo Muhimu kwa Mwalimu wa Biblia Unapoandaa Somo
Mambo Muhimu kwa Mwalimu wa Biblia Unapoandaa Somo
TZS 5,000 TZS 4,500
View options
Ushindi katika hali ngumu
Ushindi katika hali ngumu
TZS 7,000 TZS 6,500
View options
Sadaka ya fungu la kumi ni nini?
Sadaka ya fungu la kumi ni nini?
TZS 3,500
View options
HILI NI NENO LA KUFAA KWAKO - Siku 21 za kukua, kujijenga na kujiimarisha kiroho
HILI NI NENO LA KUFAA KWAKO - Siku 21 za kukua, kujijenga na kujiimarisha kiroho
TZS 9,999 TZS 7,500
View options

Customer reviews

★★★★★ 1 review

★★★★★
JAMES, 19 Sep, 2024

Yes, the service is very fantastic. When you purchase, instantly you get your copy. DL bookstore is a good website for every reader who needs good books.

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.