Vita 12 za Kijana Wakati wa Ujana na Njia za Kushinda
VITA 12 ZA KIJANA WAKATI WA UJANA NA NJIA ZA KUSHINDA ni mwongozo wa kweli kwa kijana anayepitia changamoto za maisha ya ujana.
Kitabu hiki kinaweka wazi vita vinavyowakwamisha vijana na kutoa njia rahisi, za vitendo, za kushinda na kuishi maisha yenye nidhamu, mwelekeo, na matokeo chanya na kumsaidia kijana kutimiza ndoto zake.
Others Also Bought
Mwongozo wa malezi bora ya vijana
20,000 TZS