Wasifu wa Imamu Shafii (r.a)
Downloadable file
How to buy
Imam Shafii Safari ya Elimu na Hekima
Kitabu hiki kinakupeleka katika historia ya kipekee ya ImamuShafii (RA), mmoja wa maimamu wakubwa wa fiqh na turāth ya Kiislamu. Ndani yake utakuta:
Historia ya maisha yake: kuzaliwa Gaza, kukulia Makkah, safari zake za elimu Madina, Iraq na Misri.
Safari ya kielimu: walimu wake mashuhuri, uhusiano wake na Imamu Mālik, na mchango wake katika kuunda misingi ya fiqh.
Mafanikio yake makuu: kuandika Al‑Risālah na kuanzisha madhhab ya Shafii moja ya misingi minne mikuu ya fiqh ya Kiislamu.
Mashairi na maneno ya hekima: yanayofundisha subira, elimu, urafiki wa kweli na maadili ya juu.
Urithi wake wa kielimu: namna wanafunzi wake walivyotangaza elimu yake na kuifanya kuwa rejea ya kudumu kwa Waislamu duniani.
Others Also Bought
Wasifu wa Imamu Malik
4,000.00 TZS
Mtume Wangu ﷺ
4,500.00 TZS
Zijue nyakati na majira katika mpango wa Mungu
7,000.00 TZS
Utumishi Unaotimiza Mapenzi ya Mungu