Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Yaishi Maisha Katika Wokovu

Yaishi Maisha Katika Wokovu

TZS 5,000

Hardcopy Softcopy
Add to cart  

Kitabu hiki ambacho ni toleo la kwanza la huduma ya BJL, kimebeba ujumbe maalum kwa ajili yako mpendwa ambaye umekwisha pokea wokovu na sasa unasafiri duniani kwenda mbinguni kwa Baba.

Unayeona fahari kuupokea wokovu kama maandiko yanavyosema, "Kwa kuwa macho yangu yameuona wokovu wako, Uliouweka tayari machoni pa watu wote" Lk 2:30-31 SUV na ambaye sasa umeamua kuishi maisha mapya ndani ya Kristo kama maandiko yanavyosema, "Basi kama mlivyompokea Kristo Yesu, Bwana, enendeni vivyo hivyo katika yeye;" Kol 2:6 SUV

Ndani ya kitabu hiki utapokea mafundisho ya Neno la Mungu juu ya wokovu namna ya kuyaishi maisha ya wokovu, ikiwa pamoja na kuifahamu toba ya kweli, umuhimu wa ubatizo, kuishi sawasawa na Neno la Mungu na kudumu katika maombi.

Niseme tu wazi kwamba mambo mengi katika wokovu ni magumu sanalakini ukisoma kitabu hiki utagundua waziwazi kwamba siyo wewe tena anayeishi na kuyafanya hayo mambo magumu bali Kristo aliyeko ndani yako. Utagundua kuwa utu huu mpya tuliyoupokea katika Kristo ni wenye nguvu za Mungu ndani yake.



Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.