Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Dini
  • Yesu Akawafundisha, Akisema Heri

Yesu Akawafundisha, Akisema Heri

  TZS 12,000
Add to cart  

Heri tisa (Mathayo 5:1-12), ni maneno aliyoyasema Bwana YESU mwenyewe. Kwa hiyo yana uzito mkubwa na yanastahili kuzingatiwa kwa umakini mkubwa na kila muumini. Leo hii, mimi na wewe (kama waumini wake), ndiyo walengwa wa Bwana Yesu.

Tumepokea kijiti kutoka kwa Mitume wa Bwana Yesu. Kwa hiyo tutafakari mafundisho haya kwa makini; kwani ni nyenzo za kuhubiri Injili. Heri hizi zikakupe kutafakari na kujifanyia tathmini maishani mwako ili uweze kuona ni wapi panahitaji marekebisho, na kwa msaada wa Bwana utavuka na kutoka na ushindi mkuu sana. Yesu akilisema jambo basi ujue anategemea nasi tulibebe katika uzito ule ambao nae ameona tunapaswa kulichukulia.

Kufanikiwa ki-Mungu inawezekana. Kuinuka ki-Mungu inawezekana, ni swala la kuzifahamu kanuni na kuziweka katika matendo bila kuyumbishwa na mazingira yoyote yale.


Others Also Bought

Upekee wako Utajiri wako
Upekee wako Utajiri wako
TZS 5,000 TZS 1,999
Add to cart
Ushindi katika hali ngumu
Ushindi katika hali ngumu
TZS 7,000 TZS 6,500
Add to cart
Itawale Hofu Yako
Itawale Hofu Yako
TZS 10,000
Add to cart
Mbinu rahisi za kuandika kitabu
Mbinu rahisi za kuandika kitabu
TZS 3,999
Add to cart

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.