Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Dini
  • Yesu Akawafundisha, Akisema Heri

Yesu Akawafundisha, Akisema Heri

TZS 12,000

Hardcopy Softcopy
Add to cart  

Heri tisa (Mathayo 5:1-12), ni maneno aliyoyasema Bwana YESU mwenyewe. Kwa hiyo yana uzito mkubwa na yanastahili kuzingatiwa kwa umakini mkubwa na kila muumini. Leo hii, mimi na wewe (kama waumini wake), ndiyo walengwa wa Bwana Yesu.

Tumepokea kijiti kutoka kwa Mitume wa Bwana Yesu. Kwa hiyo tutafakari mafundisho haya kwa makini; kwani ni nyenzo za kuhubiri Injili. Heri hizi zikakupe kutafakari na kujifanyia tathmini maishani mwako ili uweze kuona ni wapi panahitaji marekebisho, na kwa msaada wa Bwana utavuka na kutoka na ushindi mkuu sana. Yesu akilisema jambo basi ujue anategemea nasi tulibebe katika uzito ule ambao nae ameona tunapaswa kulichukulia.

Kufanikiwa ki-Mungu inawezekana. Kuinuka ki-Mungu inawezekana, ni swala la kuzifahamu kanuni na kuziweka katika matendo bila kuyumbishwa na mazingira yoyote yale.


Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.