Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Books
  • Publish
  • Sell
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Discounts
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Books
  • Swahili books
  • Fasihi
  • Choba

Choba

  15,000.00 TZS
Add to cart  

Kijana Choba akiwa kwenye mhangaiko ya uhutaji akakutana na Mzee Juma aliyempa chai na sehemu ya kujenga kibanda. Zaidi mno wote wawili wakaamua kuishi pamoja kila mmoja kumwondolea mwenzake upweke. Tokea hapo zikawatokea baraka zilizowafanya kuwa watu wenye nacho. Na kama haikutosha Choba akaishia kuwa mkwe kwa Mzee Juma kwa kumwoa Jesca binti Juma.

Bonge baada ya kukutana na maangamizi yaliyowakumba wazazi wake na jamaa walioishi nao, alihisaniwa na mkuu wa Chuo alikosoma ambaye aliichukua nafasi ya mzazi na mafadhili kwa mwathirika huyu. Urithi alioachiwa Bonge akautumia vyema kwa kuwaendeleza Choban a Jesca binti Juma katika elimu aliyowawezesha kuchukua nafasi za juu za ajiria katika miradi aliyoanzisha.

CHOBEMICO, Kampuni ya madini iliyoasisiwa na Choba na Benson (Bonge) imekuwa chombo cha ukombozi wa yatima hawa na mwendelezo wa wale wote waliokuwa na mahusiano nao. Zaidi mno ilisaidia kumpatia Choba mke mwema na sherehe ya harusi iliyokuwa na karamu kubwa ya kimataifa


Others Also Bought

Nuru Katikati ya Giza
Nuru Katikati ya Giza
3,000.00 TZS
Jinamizi
Jinamizi
10,000.00 TZS

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Books
  • About us
  • Publish
  • Sell
  • Blog
  • Support
DL Bookstore © 2026. All rights reserved.