Skip to main content
DL Bookstore
  • Home
  • Get books
  • Author services
  • Courses
  • Blog
  • Support
  • All books
  • Offers
  • Swahili books
    • Dini
    • Fasihi
    • Maendeleo binafsi
    • Malezi
    • Ndoa na mahusiano
    • Uchumi na biashara
    • Uongozi na usimamizi
    • Vitabu vya kiada
  • English books
    • Business and finance
    • Literature
    • Parenting and relationships
    • Personal development
    • Religion and spirituality
    • Textbooks
  • Children's books
  • Online courses
  • Free books
  • Get books
  • Swahili books
  • Maendeleo binafsi
  • Changamoto Ya Afya Ya Akili, Suluhisho Na Sheria Yake Nchini Tanzania

Changamoto Ya Afya Ya Akili, Suluhisho Na Sheria Yake Nchini Tanzania

TZS 7,000

Paperback eBook
Add to cart  

Changamoto ya Afya ya akili, Suluhusho na Sheria yake Nchini Tanzania ni kitabu mujarabu katika uga huu wa magonjwa ya afya ya akili.

Ninaamini kitakuwa msaada kwa watu wengi watakaopata fursa ya kukisoma wataelewa jinsi ya kuwatambua na kuwasaidia waathirika wa tatizo hili. Vilevile kitabu hiki kinatoa mwanga kuhusu Sheria zinazowalinda watu wenye changamoto ya akili na mali zao.

Ugonjwa wa afya ya akili umekuwa ni tishio kubwa sana duniani kote, kitabu hiki kinaelezea kinagaubaga jinsi ya kukabiliana na ugonjwa huu. Elimu ni bahari, ninashauri fatiti mbalinbali ziendelee kufanyika ili kutokomeza tatizo hili la changamoto ya afya ya akili duniani. Kwa hakika hutajutia kukisoma kitabu hiki.


Recommended for you

Ushauri wa Afya ya Akili
Ushauri wa Afya ya Akili
TZS 7,500
View options

Cart

Cart is empty.

  • Home
  • Get books
  • About us
  • Author services
  • Blog
  • Support
  • Client portal
DL Bookstore © 2025. All rights reserved.