Kanuni 101: Mwongozo wa Mafanikio Katika Maisha
Kila binadamu mwenye akili timamu anatamani kufanikiwa jambo fulani katika maisha yake, lakini wengi hushindwa kwa sababu hawana mwongozo katika maisha yao.
KANUNI 101: Mwongozo wa Mafanikio Katika Maisha ni kitabu kinachotoa mwongozo utakaokusaidia kufikia NDOTO yoyote uliyonayo katika maisha yako. Mwandishi amerejea kazi za wataalamu wa fani mbalimbali ili kukusaidia wewe kuwa mtu bora na kuweza kutimiza ndoto zako kirahisi.
Kanuni zote 101 zimeelezwa kwa lugha rahisi iliyopambwa kwa nukuu zinazoelimisha na kuleta hamasa.
Others Also Bought
Funguo 7 za mafanikio kwa Mkristo
15,000.00 TZS
Mwongozo katika mafanikio
10,000.00 TZS
Misingi 10 ya Mafanikio Yako
2,999.00 TZS