KUJIANDAA NA MAISHA BAADA YA CHUO UKIWA MASOMONI
Kitabu hiki kimeandaliwa maalum kwa wanafunzi wa vyuo kama muongozo wa kujiandaa na maisha baada ya masomo wakati bado wako vyuoni. Kimejawa na mikakati pamoja na mbinu mbalimbali za kuweza kumfanikishia mwanafunzi wa chuo kujiandaa na maisha yanayofuata baada ya masomo wakati angali bado yupo chuoni na huku akiendelea kufanya vyema kimasomo pia.
Others Also Bought
Msaada wa Mungu katika Masomo
3 Things Costing Scholars
10,000.00 TZS